Watu zaidi ya 56 wafariki Nigeria

Watu zaidi ya 56 wafariki Nigeria

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
8,273
Reaction score
25,297
160201072254_dalori_borno_boko_haram_512x288_ap_nocredit.jpg


Maafisa wa Magharibi mwa Nigeria wanasema watu zaidi ya hamsini wameuwawa katika shambulio lililotokea katika kambi ya watu waliokimbia makazi yao katika jimbo la Borno. Wanawake wawili walirusha bomu, na watatu alikamatwa na polisi.

Zaidi ya watu milioni mbili wamelazimika kuyakimbia makaazi yao kutokana na mashambulio ya kushtukiza katika kipindi cha miaka sita iliyopita kulikosababisha na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.


Chanzo: BBC
 
Back
Top Bottom