KINAMBUA MDONKOLO
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,181
- 1,694
Guys acha niweke kitu sawa kidogo.. Hakunaga simu inatwa android na wala hakunaga smu inaitwa ios.. kama unabisha wee bisha tuu.. Android ni system ambayo wote wanaotengeneza device zao huziweka mule na kuadd user i terface zao ili wasifanane na wengine na ndio maana leo hii [emoji116].
Samsung devices haziwez fanana na Xiaomi japokuwa zote ni android .. wanachukua Operating system ya Android wanaweka na User interface zao ambazo zinarun together na android na pia android ndio unakuwa mfumo endeshi mama.. Sasa iOs wao kila ktu wanafanya wao na pia [emoji116].
Niliskia mpka kurun apps wao ndio wanaruhusu zirun na ndio maana ikitokea app inaonekana inahatar kwa matumiz ya mteja wao wanakuwa wakali na kuzizuia zirun. Sasa android market sharing yake ni kubwa kuliko ios hii inatokana na kwamba android ina madevelopers wengi[emoji116].
Pia ni open source unaweza iingia na kufanya lolote lingne kwa watumiaji wengi ipo simple to use kuliko iphone kufungua apple id tu kipengele chake kikubwa bado zile apps ambazo nyngi zipo kwenye android katka app store hakuna .. na pia uzur wa android ni kwamba Kama app ni [emoji116].
Ya kulipia Wapo wazee wakucrack na ukapata moded na ukaitumia hata hzi vpn unapata ambazo zipo registrated kabsaa.. kwahyo android na ios wanachotofautiana kikubwa sana ni kwamba Android ni Open source na iOs ni Close source system.
Samsung devices haziwez fanana na Xiaomi japokuwa zote ni android .. wanachukua Operating system ya Android wanaweka na User interface zao ambazo zinarun together na android na pia android ndio unakuwa mfumo endeshi mama.. Sasa iOs wao kila ktu wanafanya wao na pia [emoji116].
Niliskia mpka kurun apps wao ndio wanaruhusu zirun na ndio maana ikitokea app inaonekana inahatar kwa matumiz ya mteja wao wanakuwa wakali na kuzizuia zirun. Sasa android market sharing yake ni kubwa kuliko ios hii inatokana na kwamba android ina madevelopers wengi[emoji116].
Pia ni open source unaweza iingia na kufanya lolote lingne kwa watumiaji wengi ipo simple to use kuliko iphone kufungua apple id tu kipengele chake kikubwa bado zile apps ambazo nyngi zipo kwenye android katka app store hakuna .. na pia uzur wa android ni kwamba Kama app ni [emoji116].
Ya kulipia Wapo wazee wakucrack na ukapata moded na ukaitumia hata hzi vpn unapata ambazo zipo registrated kabsaa.. kwahyo android na ios wanachotofautiana kikubwa sana ni kwamba Android ni Open source na iOs ni Close source system.