Watu wavamia Kaskazini mwa Rwanda

Watu wavamia Kaskazini mwa Rwanda

Hakuna cha watu vibaka tu,wachimba mihogo. Yan wanaua watu alfu na ku chukua ndoo ya mandazi aiseee! Eti nao jeshi. Aya jeshi Hilo hapo chini!

Kiongozi wao Kakesha kwenye maombi siku 3 then mungu kamwambia eti nenda muchukue nchi, aiseee! Unaua wa mama, wa toto ,unaiba ndoo ya mandazi na pipi dukani then uchukua nchi?
Huyu wananchi wakamkamata akiwamafichoni chooni!
 

Attachments

  • IMG_20191007_154732.jpg
    IMG_20191007_154732.jpg
    49.1 KB · Views: 4
  • IMG_20191007_154738.jpg
    IMG_20191007_154738.jpg
    61.2 KB · Views: 5
Hakuna cha watu vibaka tu,wachimba mihogo. Yan wanaua watu alfu na ku chukua ndoo ya mandazi aiseee! Eti nao jeshi. Aya jeshi Hilo hapo chini!

Kiongozi wao Kakesha kwenye maombi siku 3 then mungu kamwambia eti nenda muchukue nchi, aiseee! Unaua wa mama, wa toto ,unaiba ndoo ya mandazi na pipi dukani then uchukua nchi?
Huyu nae kasoma kwa mkopo wa Serikali chuo kikuu kamaliza vizuri na kwenda Uganda kasoma Masters kumbe ndio njia ya kwenda Congo kujiunga na terrorists groups.
 

Attachments

  • IMG_20191007_154453.jpg
    IMG_20191007_154453.jpg
    15.2 KB · Views: 4
BBC Swahili nao wametoa taarifa hiyo! Wao wameenda mbali zaidi kwa kutaja waliofariki ni 14.
 
Back
Top Bottom