Watu wavamia Kaskazini mwa Rwanda

Watu wavamia Kaskazini mwa Rwanda

Dig the EA

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
287
Reaction score
279
Watu wenye silaha wametekeleza mauaji ya watu 11 usiku wa kuamkia leo kaskazini mwa Rwanda.

Tukio la mauaji hayo lilitokea mida ya saa tatu usiku katika tarafa za Kinigi na Musanze wilayani Musanze jimbo la Kaskazini mwa Rwanda.

Jimbo hilo ni miongoni mwa majimbo nchini humo yanayoongoza kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.
 
Kila siku huwa wanafanya hihivi lkn PK huwa anawajibu kimyakimya na mambo yanakuwa mswano
 
Watu wenye silaha wametekeleza mauaji ya watu 11 usiku wa kuamkia leo kaskazini mwa Rwanda.

Tukio la mauaji hayo lilitokea mida ya saa tatu usiku katika tarafa za Kinigi na Musanze wilayani Musanze jimbo la Kaskazini mwa Rwanda.

Jimbo hilo ni miongoni mwa majimbo nchini humoyanayoongoza kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.
Hakuna cha watu vibaka tu,wachimba mihogo. Yan wanaua watu alfu na ku chukua ndoo ya mandazi aiseee! Eti nao jeshi. Aya jeshi Hilo hapo chini!

Kiongozi wao Kakesha kwenye maombi siku 3 then mungu kamwambia eti nenda muchukue nchi, aiseee! Unaua wa mama, wa toto ,unaiba ndoo ya mandazi na pipi dukani then uchukua nchi?
 

Attachments

  • IMG_20191007_154758.jpg
    IMG_20191007_154758.jpg
    55.3 KB · Views: 6
  • IMG_20191007_154638.jpg
    IMG_20191007_154638.jpg
    37.7 KB · Views: 7
  • IMG_20191007_154753.jpg
    IMG_20191007_154753.jpg
    38.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom