Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Jambaz mmoja aliwakamata mume na mke ili awauwe,kwanza likawaambia kabla cjauwa huwa napenda kujua jina la m2 nnaemuua.....akamshka mwnmke na kumuwekea kisu shingoni akamuuliza unaitwa nan? Mwnmke akajibu MARY,jambaz likasema we ctakuua kwa sababu jna lako ni kama la mamangu. Kisha akamshika mwnme na kumuuliza, na wewe unaitwa nan? Mwnme akajibu naitwa ANDREW ila kazn,mtaan,kijiwen hata nyumbani wananiita MARY!