Watu wanavyovamia taaluma za watu

Watu wanavyovamia taaluma za watu

A man of God

Member
Joined
Sep 5, 2015
Posts
65
Reaction score
14
Kuna jamaa anaongea hapa ITV na anadai kuwa kama ilivyokuwa kwa wana wa Israel kwa kuangusha mlima wa Babeli ndivyo chama tawala kinavyoangusha vyama vya upinzani.
Anaitetea tume kuwa ni chombo cha haki. Alianza kumkemea Lowassa kwa ubaya wake! Lakini presenter kampa mfano kutoka kwenye Bible kuwa kuna watu waliokuwa wabaya lakini walibadilika na leo tunasoma vitabu vyao!
Jamaa amejibu kisanii kwa kudai kuwa kuna tofauti kati ya historia na imani! Haaaaaaaaa! Hana lolote huyu
 
Nasema kavamia taaluma za watu kwa sababu wana wa Israel hawakuangusha mlima wa Yeriko bali waliangusha Ukuta wa Yeriko!!!
 
Mm sikumsikia lakini kutokana na ujumbe wako nimeona jamaa ktk primary idea yake ana point nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom