GE2025 Watu wanaotamani Vyeo vya Dezo serikalini

GE2025 Watu wanaotamani Vyeo vya Dezo serikalini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Secret person

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
334
Reaction score
795
Wana Tamaa ya kuteuliwa Hata UDC Ila serikali mpaka leo haijawaona naomba niwaorodheshe.

1. Harris Kapiga
2. Mc Pilipili
3. Masanja Mkandamizaji.
4. Maulidi Kitenge.
5. Mwijaku.
6. Shilole.
7. Wema Sepetu
8. Steven Nyerere.


Hawa ni watu wameonyesha nia kubwa ya uchawa na kupewa fadhila yoyote na CCM.
 
Wana Tamaa ya kuteuliwa Hata UDC Ila serikali mpaka leo haijawaona naomba niwaorodheshe.

1.Harris kapiga
2.Mc pilipili
3.Masanja mkandamizaji.
4.Maulidi kitenge.
5.Mwijaku.
6.Shilole.
7.wema sepetu
8.Steven Nyerere.


Hawa ni watu wameonyesha nia kubwa ya uchawa na kupewa fadhila yoyote na CCM.
Sio kwamba tayari wana kazi maalum ndio maana wana survive mjini? Vyeo sio udc tu
 
Wana Tamaa ya kuteuliwa Hata UDC Ila serikali mpaka leo haijawaona naomba niwaorodheshe.

1.Harris kapiga
2.Mc pilipili
3.Masanja mkandamizaji.
4.Maulidi kitenge.
5.Mwijaku.
6.Shilole.
7.wema sepetu
8.Steven Nyerere.


Hawa ni watu wameonyesha nia kubwa ya uchawa na kupewa fadhila yoyote na CCM.
Umemsahau AY
 
Yani uDC ni cheo cha Dezo? nilikuwa silifahamu hili .
 
Mbna wote wako ktk ulaji, ila nje ya hizo Teuzi.
 
Umechelewa sana hao wengine wanamshahara zaidi ya hao ma DC na RC kama huamini chalamila uemewahi muona kaenda Qatar?

Kuna wengine swala la kwenda kucheki mechi ulaya ni sawa nawewe kwenda kuiona namungo au mashujaa
 
Wana Elimu gani Jamii forum ina watu wenye akili kuzidi hizo takataka hapo ni Mda sasa serikali iteue watu kutoka jamii forum bila kujali ni wakosoaji
 
Maulidi Kitenge ni usalama wa taifa Japokua elimu yake ya hapa na pale
 
Back
Top Bottom