Sasa sii unasema tulio nao sio wa kwetu sasa Kelsea ambaye yupo na anduje ina maana kajipumzisha tuu hapo kwa jamaaUongo huo
Sasa sii unasema tulio nao sio wa kwetu sasa Kelsea ambaye yupo na anduje ina maana kajipumzisha tuu hapo kwa jamaaUongo huo
Nakobale mdogo ango,otakofa vebaya aloo...
Wanajiita mume na mke halafu wote wana michepuko yao nje ya ndoa. Sasa wana tofauti gani na mimi single ninayechakata kila aina ya mbususuTatizo huwez Vumilia kutosex
Mbu+=(su)²;
Bora kuwa single😂Yaani saiv nikiskia ama kuona mwanamke anaolewa namuonea huruma sana maana wanawake wengi wanamatarajio makubwa mnoo kweny ndoa kuliko uhalisia wenyewe so wakishaingia kweny ndoa wakakuta mambo ni tofaut na walivyotarajia hapo visa ndo vinaanza kuepusha ayo yote watu wajitahidi kutafuta wenza wao wafunge ndoa waishi nao vyenginevyo itakuwa mtihani kw kweli 😂😂😂