Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,668
Kubali ukatae huyo unayeishi naye si wako. Upo hapo kujisitiri tu uitwe mume wa mtu, mke wa mtu basi. Ndiyo maana umekubali kuvumilia yote.π Eti navumilia watoto, navumilia watu wataongea sana, navumilia.. blah blah blah nyingi.
Kama ana dalili ya kutokuhitaji kuendelea kuishi nawe basi ukivumilia hakikisha unajua kuvumilia kweli. Siyo mara tuanze kusikia umejiua au umeua. Hatutaki kusikia!
ππππππππππππ€
Ole tusikie limekufa jitu.
Kama ana dalili ya kutokuhitaji kuendelea kuishi nawe basi ukivumilia hakikisha unajua kuvumilia kweli. Siyo mara tuanze kusikia umejiua au umeua. Hatutaki kusikia!
ππππππππππππ€
Ole tusikie limekufa jitu.