'Watu wamefika bei" Mbowe

'Watu wamefika bei" Mbowe

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
Nikauli ya Mh. mbowe alioitoa leo Dar, sijamuelewa kamanda wa anga alimaanisha nini?
 
Kamanda wa anga kamaanisha Dr. Mihogo anayeishi Serena Hotel akipewa ulinzi maalum wa usalama wa taifa kajithaminisha kwa vipande kadhaa vya fedha na wale wataalamu wa kununua watu wenye thamani ya vijisenti au hela ya mboga washamuweka katika himaya yao.

Dr. Mihongo sasa ana kazi moja tu ya kula mihogo na kuongea na WATANZANIA wake kwa njia ya TV zote atakavyo nchi hii huku kauli zake zikishangiliwa sana na wale MAFISADI 10 waliopo kile chama cha zamani.
 
Dr. Slaa kanunuliwa through Msumbuzi kwa 7 Billion
 
Kamanda wa anga kamaanisha Dr. Mihogo anayeishi Serena Hotel akipewa ulinzi maalum wa usalama wa taifa kajithaminisha kwa vipande kadhaa vya fedha na wale wataalamu wa kununua watu wenye thamani ya vijisenti au hela ya mboga washamuweka katika himaya yao.

Dr. Mihongo sasa ana kazi moja tu ya kula mihogo na kuongea na WATANZANIA wake kwa njia ya TV zote atakavyo nchi hii huku kauli zake zikishangiliwa sana na wale MAFISADI 10 waliopo kile chama cha zamani.

kama amefikia ya kuonekana sana kwenye tv SITASHANGAA AKIENDA HATA KUSHIRIKI BIG BROTHER maana tayari ana exposure na Camera za TV.
 
Nchi hii naona ni ya walambaji. Kila mtu anaambiwa kalamba. Oooh unajua Mbowe kalamba ...mara ooh Slaa kalamba. Mara ooh Zitto kalamba mara ooh Kitila kalamba. Yaaani ni shiiiida. Upigaji tu kwa kwenda mbele.
Najua hata wewe Masolwa hujapata fursa tu ..ukipata utapiga tu.
Aiibuu.
 
kweli nyani haoni ----le, yaani Mbowe kasahau kabisa yaliyotokea kwake kwa Lowasa
 
Kama Mbowe ni Kielelezo cha Uadilifu basi Dr.Slaa atakuwa Mwenye Heri.
 
Back
Top Bottom