Watu wabishi: Bado wanasubiri maisha bora

Watu wabishi: Bado wanasubiri maisha bora

Elineema J Mosi

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2013
Posts
808
Reaction score
148
Ndugu wana jf. Tafsiri za kauli za kisiasa bado zinasumbua wengi,Naona bado wanasubiri maisha Bora. Hakuna ajua maana ya kauli ile pengine ndo haya sasa mnasubiri nini wadau? Kumbuka jiwe nalo n bidhaa muhimu ya Ujenzi!
 
Kwa hiyo unatutaka tufanye nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji kwa kulalamika kwenye mitandao
 
Kwa hiyo unatutaka tufanye
nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji
kwa kulalamika kwenye mitandao

wewe yawezekana ni mbishi namba moja. Nani kafafanua maana yake? Subiri wahusika watatujuza maana yake,kuwa na subira wewe.
 
Kwa hiyo unatutaka tufanye nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji kwa kulalamika kwenye mitandao
mwaka 2005-sukari kilo ilikua sh 450 leo 2500,sembe 350 leo 1400,umeme 41 leo 220,gesi kg15 sh 18,000 leo 54,000.sasa jiulize kipato nacho kimepanda kiasi hicho?
 
Kwa hiyo unatutaka tufanye
nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji
kwa kulalamika kwenye mitandao

kwani aliyehaidi alikuwa haoni umuhimu wa watu wake kufanya kazi ndo wawe na maisha bora?si angesisitiza hilo toka awali?.
 
Kwa hiyo unatutaka tufanye nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji kwa kulalamika kwenye mitandao

tufanye kazi zipi mkuu... Bot, usalama nk.. Wamejaa wao tu..fursa za kujiajiri hakuna ukiwa machinga wanakukimbiza na virungu.. Ukiwa mfugaji mashamba wanachukua eg. Loliondo
 
Back
Top Bottom