Watu tunatoka mbali sana!

Mbali wapi huko ukute umezaliwa miaka 90 unapaita mbali kingine unachosahau kila binadam ana historia yake ya maisha aliyopitia na bado anapitia mjanja kupata kuwahi ni kiherehere chako tu
 
Huyo Bashite mbona ka Bashite rapa
 
Mbali wapi huko ukute umezaliwa miaka 90 unapaita mbali kingine unachosahau kila binadam ana historia yake ya maisha aliyopitia na bado anapitia mjanja kupata kuwahi ni kiherehere chako tu
Check your IQ buddy!
 
Ndo maana sipigagi picha,najiepusha na hizi kumbukumbu!
 
Hata tunakoenda ni mbali pia,like 20 yrs baadaye watakuwa veepee?
 
Bora Bashite inajulikana kabisa ni mtoto wa kimasikini kuliko hicho kigagula cha ushuani na bado hata kuvaa ni 0
 
Mmmh! Kwa ufukunyuzi huu kesho yangu yaweza haribiwa na picha za sasa.
Kwani wewe ni mkamilifu sana...[emoji45] [emoji45]
Au pengine unatamani kuishi kama malaika/msafi kwenye hii dunia ilio jaa dhambi na mateso....[emoji15] [emoji15]
Ebu ishi maisha yako bhanaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…