Justine Kakoko
Member
- Oct 5, 2018
- 33
- 58
Kati ya vitu vinne alivyovisema mwalimu Nyerere ili TAIFA liendelee ni WATU. Ukitoa uongozi bora, ardhi na siasa safi. Tatizo ni kwamba watu hawajioni tena sehemu muhimu katika kuliendeleza TAIFA lao, najua anguko la uzalendo ni sababu kuu.
Fikiria hili; angalau 60% yetu tumepita katika taasisi mbalimbali za elimu kama vile shule. Tukisema kila mmoja aliyepita kwenye shule fulani awe na taratibu ya kuchangia maendeleo ya shule aliyopita unadhani shule zitakuwa na vyoo au majengo yaliyochakaa kiasi cha kutisha au kutofaa cha kabisa?
NB: Pichani ni picha ya choo ya shule moja mkoani Iringa iliyofungwa kutokana na ubovu wa vyoo.
~ Justine Kakoko
Fikiria hili; angalau 60% yetu tumepita katika taasisi mbalimbali za elimu kama vile shule. Tukisema kila mmoja aliyepita kwenye shule fulani awe na taratibu ya kuchangia maendeleo ya shule aliyopita unadhani shule zitakuwa na vyoo au majengo yaliyochakaa kiasi cha kutisha au kutofaa cha kabisa?
NB: Pichani ni picha ya choo ya shule moja mkoani Iringa iliyofungwa kutokana na ubovu wa vyoo.
~ Justine Kakoko