unruly gang
Member
- Nov 17, 2017
- 45
- 32
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.Yeah, taaluma ziheshimiwe...
mkuu 70% umeenda mbali zaidi bana pinguzapunguza hadi 35% labdaNi kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Nikweli, na mchawi wetu mkubwa kwetu Afrika,,,,ni kwamba tafsiri yetu ya "maendeleo" kuwa ktk umiliki wa vitu tu, magari, nyumba na fedha. Utaalamu wetu unafishwa na dhana hiyo tu. Wote tunashea tafsiri moja tu, daktari, mhasibu, injinia na wengine wote tunashea hilo tu.Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
😀 😀 😀 😀 😀...Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Hutojua thamani yao hadi yakufike, hiyo unayoiongelea ni Bahati mbaya au uzembe wa mtu mmoja au wawili usiwabeze woteNi kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.