Kwani wanatangaza wakiwa wamevaa nguo za rangi gani?
Isije kuwa wanaalikana kufanya maandamano kwenda south Africa kuleta Airbus yetu sababu wale jamaa kila mmoja na tamko lake sijui hata simu hawapigianagi.........!
Nahisi Bongo Movie na Vituko Vyao! Yaani hata Hawaeleweki, akili Ndogo za Tanzania hizi. Eti tunataka Kujilinganisha na Watasha? Hakuna Jambo tukafanikiwa Bongo!