Watu kadhaa Wafukiwa machimboni Arusha

Watu kadhaa Wafukiwa machimboni Arusha

Mkuu wa mkoa+Chadema,hazizuii kuifo cha mtu.Unatakiwa uchanganye na zako huku ukimshirikisha Mungu.
Asitafutwe wa kulaumiwa,Kifo kikifika hakuna wa kuzuia.Poleni wafiwa

wa kuzui alikuwepo, ila hakusikilizwa.
 
Watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la Terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.

sasas wewe kiumbe wewe hapa chadema imeingiaje?? Unamaana kuwa chadema ina ushawishi mkubwa kwa watu kuliko serikali??? Ukada wa ki ccm umekuingia vibaya una laana kali sana! Wewe kila kitu ni chadema tu?
 
jamani mbona mwatuchokoza pichu ya kike aliye katika siku zake inakuwaje kwa nini msitaje pichu zenu. mfano mwambie nahisi wewe utakuwa umevaa boxer chafu ndio maana unaongea kama una washwa au umevaa boxer iliyolegea ndio maana unakurupuka.
acheni kutukanana kwa kutumia jinsia ya kile ebo.

samahani dada kilio chako nimekisikia. ila huyu mwigulu mwenyewe ameelewa maana ya kuvaa vazi hilo
kule marekani watu kama hao wanavaa nguo za rangi ya pink kujitambulisha
 
Watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la Terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.

Mkuu wa mkoa alifanya mikakati gani kuwawezesha wachimbaji hao ili wajikimu kimaisha?
 
Mkuu wa mkoa alifanya mikakati gani kuwawezesha wachimbaji hao ili wajikimu kimaisha?

katika wakuu wa mikoa huyu nae mnamtaja ? yule kimada wake aliyewatishia ffu na kibastola ametoka hospitalini. chezeya ffu weye.
 
jamani mbona mwatuchokoza pichu ya kike aliye katika siku zake inakuwaje kwa nini msitaje pichu zenu. mfano mwambie nahisi wewe utakuwa umevaa boxer chafu ndio maana unaongea kama una washwa au umevaa boxer iliyolegea ndio maana unakurupuka.
acheni kutukanana kwa kutumia jinsia ya kile ebo.

Umejitetea utamu we dada teh teh teh ngoja tuone kama jamaa watabadili!
 
katika wakuu wa mikoa huyu nae mnamtaja ? yule kimada wake aliyewatishia ffu na kibastola ametoka hospitalini. chezeya ffu weye.

Sishani kama kuwa na kimada inauhusiano na utendaji wa kazi zake...
 
Sishani kama kuwa na kimada inauhusiano na utendaji wa kazi zake...

Usiupoteze umma. kwenye nchi zenye maadili wakijua umetembea nje hata mara moja. wanakutimua UNCEREMONIOUSLY. uingereza hata diwani wakimkuta amempa lift dada poa lazima ajiuzulu.
 
Chadema ni janga la taifa.

Mbona NCCR na CUF haviogopywi kama chama chetu. je nikwasababu nccr na cuf vilishanunuliwa kwa kupewa ubunge na umakamu wa rais znz? hebu mpeni na huyu SLAA uwaziri mkuu wiki hii tuone kama CHEDEMA kitapoa.
 
Usiupoteze umma. kwenye nchi zenye maadili wakijua umetembea nje hata mara moja. wanakutimua UNCEREMONIOUSLY. uingereza hata diwani wakimkuta amempa lift dada poa lazima ajiuzulu.

Hii ni Tanzania.
 
Jaman watu wanatafuta pesa ni ajal imetokea hakuna wa kulaumiwa Mungu kavuna lawama za nn wafiwa Mungu awape nguvu wote wa hukohuko wametanguliatu
 
Usiwe kama unavaa c.hu.pi ya kike. ungesemaa ccm walikataza CHADEMA wakaruhusu. au Magesa alikataza Lema akaruhusu. Hata hivyo watu wa Arusha hawatumii utashi wao wenyewe mpaka wapate maelekezo ya ccm au CHADEMA ? hao watu walikua watoto wadogo ?

wewe ndo mvaaji wa chupi ya kike tena unavaa kichwani! Magesa ndo msemaji wa serikali, kama kulikuwa na hatari za kiusalama, magesa ndiye mwenyekiti wa ulinzi nd usalama wa mkoa. Sasa wamemsikiliza lema yamewakuta yaliyowakuta! Lema ni mwuwaji, kwani mara ngapi anawashawishi kufuata hatari badala ya kuikimbia?
 
Back
Top Bottom