Watu kadhaa Wafukiwa machimboni Arusha

Watu kadhaa Wafukiwa machimboni Arusha

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,798
Watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la Terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.
 
Watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la Terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.

MAAFA ARUSHA: Watu kadhaa wamefukiwa na kifusi katika machimbo yaliyopigwa marufuku eneo la Terati Arusha punde, miili ya watu 2 imepatikana, uokoaji waendelea
 
watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.

kwani nchi ya arusha, chadema nao ni serikali ???
 
Mkuu wa mkoa+Chadema,hazizuii kuifo cha mtu.Unatakiwa uchanganye na zako huku ukimshirikisha Mungu.
Asitafutwe wa kulaumiwa,Kifo kikifika hakuna wa kuzuia.Poleni wafiwa
 
Mkuu wa mkoa+Chadema,hazizuii kuifo cha mtu.Unatakiwa uchanganye na zako huku ukimshirikisha Mungu.
Asitafutwe wa kulaumiwa,Kifo kikifika hakuna wa kuzuia.Poleni wafiwa

Usiwe kama unavaa c.hu.pi ya kike. ungesemaa ccm walikataza CHADEMA wakaruhusu. au Magesa alikataza Lema akaruhusu. Hata hivyo watu wa Arusha hawatumii utashi wao wenyewe mpaka wapate maelekezo ya ccm au CHADEMA ? hao watu walikua watoto wadogo ?
 
Poleni wandugu, si jambo la kufurahia hata siku. Tufikie wakati tuwe tunakubaliana na wataalamu kuhusu haya mambo ya uchimbaji usiojali usalama. Hata katika hali ya kawaida ukipata nafasi kutembelea machimbo mbalimbali usalama hauangaliwi na kwa akili ya kawaida huwezi kukubali hata kusogea. Mungu awanusuru hao wengine katika juhudi za kuwaokoa.
 
MUNGU asilaumiwe au kutajwa ovyo. kwa mfano mtu anampigia kura mbunge wa ccm. akilala bungeni mnasema MUNGU TUNUSURU. unaingia kwenye machimbo ambayo serkali sikivu ya ccm haijayafanyia tathmini. ukifa utailaumu CHADEMA
 
Watu kadhaa wamefukiwa machimbo ya kokoto na molem huko eneo la Terati, walizuiwa na mkuu wa mkoa lakini chadema waliwatia moyo wasitii amri hiyo.


Hebu funguka vizuri sema ki2 na ufunguke tukuelewe unataka kusema nini!
Eti Chadema iwaambia wachimbe?
 
Usiwe kama unavaa c.hu.pi ya kike. ungesemaa ccm walikataza CHADEMA wakaruhusu. au Magesa alikataza Lema akaruhusu. Hata hivyo watu wa Arusha hawatumii utashi wao wenyewe mpaka wapate maelekezo ya ccm au CHADEMA ? hao watu walikua watoto wadogo ?

Na hisi wewe ndo ume vaa pichu ya kike tena aliye kwenye siku zake.
Umesoma vizuri nilichoandika?au unaharaka na maisha.
 
Na hisi wewe ndo ume vaa pichu ya kike tena aliye kwenye siku zake.
Umesoma vizuri nilichoandika?au unaharaka na maisha.

Kama sikosei wewe ni mwigulu ndio maana lolote baya unalihusisha na CHADEMA M4C AU MBOWE. yatakushinda
 
MUNGU asilaumiwe au kutajwa ovyo. kwa mfano mtu anampigia kura mbunge wa ccm. akilala bungeni mnasema MUNGU TUNUSURU. unaingia kwenye machimbo ambayo serkali sikivu ya ccm haijayafanyia tathmini. ukifa utailaumu CHADEMA

Dah! Bavicha kwa toungue twisting mko juu! Hukumbuki kuwa Lema ndio aliwaambia wachimbe tu na polisi wakija pambaneni nao!
 
Na hisi wewe ndo ume vaa pichu ya kike tena aliye kwenye siku zake.
Umesoma vizuri nilichoandika?au unaharaka na maisha.

jamani mbona mwatuchokoza pichu ya kike aliye katika siku zake inakuwaje kwa nini msitaje pichu zenu. mfano mwambie nahisi wewe utakuwa umevaa boxer chafu ndio maana unaongea kama una washwa au umevaa boxer iliyolegea ndio maana unakurupuka.
acheni kutukanana kwa kutumia jinsia ya kile ebo.
 
Poleni wandugu, si jambo la kufurahia hata siku. Tufikie wakati tuwe tunakubaliana na wataalamu kuhusu haya mambo ya uchimbaji usiojali usalama. Hata katika hali ya kawaida ukipata nafasi kutembelea machimbo mbalimbali usalama hauangaliwi na kwa akili ya kawaida huwezi kukubali hata kusogea. Mungu awanusuru hao wengine katika juhudi za kuwaokoa.

Aaamin.
 
mada hii imekaa mkao wa kupandikiza chuki na kuvunja amani jamvini
 
Back
Top Bottom