Watu Kadhaa wafariki dunia

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,314
Nimetaarifiwa kuwa kuna ajali imetokea hivi punde mjini kahama.Maiti 18 mpaka sasa zimefikishwa hospitali ya wilaya.

Mwenye habari zaidi atujuze tafadhali.
 
Sad news let us wait untill it is veryified!!!!!!!!!!!!
 
Sad news let us wait untill it is veryified!!!!!!!!!!!!

dah! too sad kama ni kweli, Mungu awaweke pema walopoteza maisha pia pole kwa wafiwa.:shock::shock:
mh. kamaka pease naomba ubadilishe hiyo avatar yako jamani inatisha ati!:sorry:
 
Sad news let us wait untill it is veryified!!!!!!!!!!!!

yah ni kweli hiyo ajali imetokea maeneo kabla kidogo ya kufika Ushirombo, ajali ilikuwa ni ya basi (NAJMUNISA** NOT MUCH SURE) LILILOKUWA LINATOKEA BUKOBA NA LIMEGONGANA USO KWA USO NA FUSO LILILOKUWA LINATOKEA USHIROMBO/KAHAMA
KWA HABARI ZISIZO NA UHAKIKA SANA NI KUWA WATU ZAIDI YA 25 WAMEKUFA

KWA WANAOFAHAMU HIYO NJIA AJALI IMETOKEA KARIBU NA ROAD BLOCK JUST BAADA YA KUMALIZA PORI LINALOANZIA MSONGA NA NI KILOMITA CHACHE TU KUTOKA USHIROMBO
 
Duh ajali zinamaliza watanzania.Poleni wafiwa.
 
Baada ya ajali kama hiyo ndo utaona traffic wetu wanavokuwa wakali kama nyigu, sipendi mie!
Poleni wafiwa wote!
 
Poleni sana wote muliopata ajari poleni sana.Mungu awape ahueni mapema.
 
mmh.. natumaini hakuna idadi kubwa ya watoto imehusika.. (siyo 10 hivi).. RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…