Watu 30 wauawa kwa mabomu, Yemen

Watu 30 wauawa kwa mabomu, Yemen

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,686
150617192956_sanaa_640x360_ap.jpg


Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.

Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.

Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na milki zake.

Kwa sasa mazungumzo yanaendelea huko Geneva kati ya waasi na Serikali,huku maofisa wa umoja wa mataifa wakijaribu kusuluhisha pande hizo mbili ili kusitisha mapigano.

Source:
BBC
 
1553823.jpg


Hamza al-Houthim head of the Houthi delegation, shows photographs of injured and killed children as he speaks on human rights during a press conference on the Yemen peace talks at the Geneva Press Club in Geneva, Switzerland, Thursday, June 18, 2015. (Keystone via AP, Martial Trezzini)

The rebel delegate said the stalled talks would continue until at least Friday, adding: "We hope these preliminary talks will end up in some kind of accord... a transition that will hopefully lead to free, fair and transparent elections."
He accused the Saudis of using "nitrogen bombs and other horrible arms" to "massacre women and children" and said Al-Qaeda in Yemen was "exploiting the situation and using the aggression to extend its influence over the region."
Yaser al-Awadi, another member of the rebel delegation, said the "Yemen war has become an economic investment for Britain, France and the United States."
"Their arms factories are working full-time for two months to furnish and supply arms," he said.
"Our women and children are being used as guinea pigs to test new arms," Awadi said at the chaotic press conference.

SOURCE: High drama at Yemen talks as slipper hurled at rebel leader | Daily Mail Online


 
Back
Top Bottom