Watoto wangu wamejifunza kucheza upatu shuleni na watoto wenzao

Mashaka yangu yapo kwenye hicho kiasi cha pesa, lkn hiyo michezo ipo sana tuu na watoto wanacheza huko shuleni. Watoto wameshajifunza kubana matumizi ya hela wanazopewa, mm nachoona waelimishe wajue mabaya na mazuri, wasaidie kufanya maamuzi mazuri kwa faida yao wenyew.

Zama za kuwa mtemi na kuwakataza watoto kila kitu zimepitwa na wakati, mm nayeshinda na watoto mda mwingi nalishuhudia hili.
 
Mashaka yangu yapo kwenye hicho kiasi cha pesa, lkn hiyo michezo ipo sana tuu na watoto wanacheza huko shuleni. Watoto wameshajifunza kubana matumizi ya hela wanazopewa, mm nachoona waelimishe wajue mabaya na mazuri, wasaidie kufanya maamuzi mazuri kwa faida yao wenyew.

Zama za kuwa mtemi na kuwakataza watoto kila kitu zimepitwa na wakati, mm nayeshinda na watoto mda mwingi nalishuhudia hili.
Mtoto akichanganya mambo mawili moja itamshida, mimi naona kusoma ni muhimu kuliko huo mchezo.
 
Mkuu ni watoto wa kiume na ni melichunguza zaidi nimegundua ni kweli hivo vikundi vya kuwekeana hiyo pesa......ila udhaifu uko kwenye waalimu ni wazembe kugundua kitu kama hiki.
Hila walimu tunawabebesha mzigo mkubwa wa lawama, kwani ni walimu ndio wanawapa hao wanao hiyo michango ya tsh 500 wanazopeana?
 
Hiyo hela atakuwa na bodaboda anamla na anamhonga unless otherwise ni mkeo ana buzi analichuna sasa tabia yako ya kupekuwa kwenye nguo zake imemfanya ahamishie hela kwa watoto akatunze huko.

Hakuna mtoto wa kuwa na zaidi ya shilingi elfu kumi tu asiseme kwa wazazi wake.

Umezibwa macho na masikio huoni husikii na huelewi.

Pole yako

Mbona umewazia mbali Sana ,unganisha doti zako vizuri jasusi wewe
 
Mtoto akichanganya mambo mawili moja itamshida, mimi naona kusoma ni muhimu kuliko huo mchezo.
Usemalo n kweli lkn maisha yamebadilika kwa sasa watoto wanapaswa kufundishwa skills za kuja kuwasaidia maishani, anaweza akasoma mwisho wa siku elimu ya darasani ikamfanya kulilia ajira.
Kikubwa n kujua faida na hasara ya walifanyalo. Waliache au wabadilishe namna ya kulifanya.
Mm kama nilikuwa nawapa hela ya shule, napunguza hiyo 500 afu nawatunzia afu namuuliza kila mmoja anapanga kuifanyia nn hiyo helaa
 
Kama ni Baba hakuna Baba hapa.
Kama ni Mama basi hakuna mama hapa.

Naomba iwe Stori ya kutunga vinginevyo hatari inamkabili huyo mtoto.
 
Chunguza zaid inawezekana kuna mtu kashaanza kumchezea mtoto na anamuhonga hela na kwakua mtoto anapata nahitaji yote ataweza kusave tu.

Maana mchezo wa 500 Hadi ifike hatua ya kugawana 150k siyo kaz rahisi kwa mtoto.

Au mbane akuonyeshe huyo mchangishaji wao wa vikoba na umuhoji akufafanulie kuna vtu utagundua zaid
Kweli kabisa
 
Aisee watoto wangu wakiwa hivyo basi nawaendeleza zaidi ya hapo.
Nitawafundisha zaidi elimu ya fedha na namna ya kujitanua zaidi.
Hii akili sio za kitoto,hawa wana jambo lao. Ukiwazimisha unawezakujikuta umemzima Bilionea ajaye. Tuachane na hizi akili, tuwaendeleze watoto kwenye wakicho bora kwao iwapo ni kizuri.
Hawa ni matajiri wajao nakwambia. Akili zao zinafanya kazi mno
 
Fafanua zaidi hiyo hatari ini ipi?


Utakatishaji pesa ndani ya familia yako unahusika.

Wanachuo wenyewe wengi wao hawawezi mchezo Kama sio kutokuufanya sembuse mtoto wa Kidato cha Kwanza sijui cha pili.

1. Hiyo pesa inaweza kuwa imeibiwa somewhere na hapo IPO mafichoni tuu.

2. Hiyo pesa huenda ikawa kuna mtu anamhonga mwanao sasa anakosa matumizi ya kuitumia.

3. Hiyo pesa huenda inaweza kuwa ya Mkeo lakini Kwa bahati mbaya umeikuta Kwa mwanao. Mwanao anatumika kuitakatisha.

4. Hiyo pesa inaweza kuwa yako
 
Back
Top Bottom