Yaani nilitaka kwenda kuchumbia kijijini ila kwa picha hii nishamwona wa kuchumbia tayari hongera mwananchi kwa kuiweka hii picha ya TOTOZ.(za kagame tupa kule!!delete kabisa)
mkuu nyine ndio wale , mnatekenywa kidogo tu, mnaanza kutiririka hata ya uvunguni mwa kumoyo, kuwa makini, hizi nazo ni silaha za kivita tena hatari sana kuliko hata mabomu ya nyuklia, maana zinakuharibu huku unachekelea
WaBongo Tutauza nchi, na kuipoteza Tanzania !! Tukiendekeza kufuata vyambo HIVYO (mitego hiyo) kweli sura zinavutia LAKINI malengo yao hatujui !! Usiache mbachao kwa msala upitao!
WaBongo Tutauza nchi, na kuipoteza Tanzania !! Tukiendekeza kufuata vyambo HIVYO (mitego hiyo) kweli sura zinavutia LAKINI malengo yao hatujui !! Usiache mbachao kwa msala upitao!