Nahitaji water pump kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji wakuu,
Iwe ya kutumia Petroleum na pia iwe inch 3
Naomba kujua kama kuna mwenye nayo au amaweza kunisaidia bei zake na picha nikazijua
Asanteni
Nahitaji water pump kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji wakuu,
Iwe ya kutumia Petroleum na pia iwe inch 3
Naomba kujua kama kuna mwenye nayo au amaweza kunisaidia bei zake na picha nikazijua
Asanteni
Mkuu hizi kitu zinahitaji uwe makini sana,kuna original na kuna fake na zinafanana kila kitu,cha msingi kama upo dar es salaam nenda kariakoo maduka yanayoelekezana na standa ya mabasi ya mwendokasi (gerezani)utazikuta nyingi na chunguza vizuri utaamini nnachokwambia
Kila laheri