Wadau, habari zenu?
Wapi kwa hapa Tanzania naweza kupata materials + wataalamu wa kunitengenezea floor na ukuta wa bafu langu la mbao isipenyeze maji katika mbao?
View attachment 393628View attachment 393627 Wadau, habari zenu?
Wapi kwa hapa Tanzania naweza kupata materials + wataalamu wa kunitengenezea floor na ukuta wa bafu langu la mbao isipenyeze maji katika mbao?