msda mwenye uwezo wa kusaidia kupatikana kwa ajra kwa fani hapo juu anisaidie
upo tayari kufanya kazi mahala popote Tanzania kama rig manager and driller supervisors?
Halafu kwenye gazeti la mwananchi wametangaza hizo hizo nafasi za kazi
ni mkoa wa dodoma wanahitaji mainjinia wa maji na mitambo
Wahi