biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 392
- 166
Inavuta tu maji, suala la kutoka yanatoka kama yalivyoinatoa maji baridi na moto au inavuta tu??
Vifaa vya kichina hivyo hamna spea, kikiharibika unatupaNi ya kuchaji yes, vp kama ikiungua spare zinapatikana wapi
[emoji1] [emoji1],Vifaa vya kichina hivyo hamna spea, kikiharibika unatupa
kua siriaz , kwa 35k kweli ?inatoa maji baridi na moto au inavuta tu??
Azam Sarafu wanauza 15,000 ivikua siriaz , kwa 35k kweli ?
Mkuu ndio mana nikamuuliza hyo bei ni pamoja na mtungi wake? Coz hicho ki device peke yake sarafu wanauza bei uliyotaja bt ni manual.Azam Sarafu wanauza 15,000 ivi
Nimeviuza na niliowauzia wananipa oda zao kila kukicha, ukifuatisha masharti utakitumia miaka na miakaVifaa vya kichina hivyo hamna spea, kikiharibika unatupa
Hii ni biashara huria ndugu na kila mtu na brand yake, ukitaka nafuu sikukatazi kwenda huko ila usilalamike siku mbili tatu kimekufaAzam Sarafu wanauza 15,000 ivi
Quality na brand ya vitu vinatofautiana, hujakatazwa kwenda unapoona kuna nafuu ila ukishapata matokeo ndio utajua kuwa kupenda nafuu ina gharama zake.Mkuu ndio mana nikamuuliza hyo bei ni pamoja na mtungi wake? Coz hicho ki device peke yake sarafu wanauza bei uliyotaja bt ni manual.
Hiyo chaji ni ya kuchajia hicho kifaa, kikiwa hakina chaji kinawaka taa nyekundu na kikijaa kinawaka taa ya bluu, kukiwasha unabonyeza kwa juu kinafanya kazi.hiyo chaji ya nini?? maji yanatoka kwa kubonyeza mahali au ina sensor??
Hujaelewa swali,Hiyo chaji ni ya kuchajia hicho kifaa, kikiwa hakina chaji kinawaka taa nyekundu na kikijaa kinawaka taa ya bluu, kukiwasha unabonyeza kwa juu kinafanya kazi.
Hujakatazwa kwenza unapoona nafuu, hii ni biashara huria ndugu sikulazimishi kununua kwangu wala hakuna haja ya kuongea.kua siriaz , kwa 35k kweli ?
Ina cable kama ya simu, unaichaji kwenye deki au kwenye deki, inavuta maji kwa kubonyeza juu ya hicho kifaaHujaelewa swali,
Na umejibu moja tu. Dispenser inahitaji umeme wa Nini?
Unavuta maji kwa Kubonyeza au ina sensor?
Haiungui guarantee mwaka mzima, unachaji kama unavyochaji simu, inakaa miaka na miaka ukifuata mashartiNi ya kuchaji yes, vp kama ikiungua spare zinapatikana wapi