DOKEZO Watendaji wa vijiji wamegeuka miungu watu kutoa huduma ya anuani za makazi (NAPA)

DOKEZO Watendaji wa vijiji wamegeuka miungu watu kutoa huduma ya anuani za makazi (NAPA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Maeneo mengi ya vijijini watendaji wamegeuka miungu watu huku wakidai pesa nyingi kwa ajili ya kuwapa hiyo namba

Ikumbukwe waombaji mkopo ni watoto wa masikini kwa asilimia kubwa lakini nchi ipo bize na uchaguzi hamna wa kusema

Watu wanatozwa hadi laki ili apate namba ya utambulisho wa makazi

Watendaji hawakai ofisini kila muda wananchi wanahangaika maofisini watendaji hawapo

Mtoto wa kike anaambiwa njoo nyumbani, nipo nyumbani nafanya kazi nyingine za kiofisi. Ni mazingira hatarishi kwa watoto wa kike.

Pia hii kitu imetengeneza mazingira ya rushwa kwa watendaji

Hivyo HESLB na wakurugenzi na mamlaka zinazohusika zijikite kuhakikisha wananchi wanahudumiwa kwa haki na usawa maana nchi hii ni ya kwetu sote. Inafikia inakuwa ngumu mpaka watu wanatamani kuikimbia.

Mfano mkoa wa Simiyu, nimekutana na hiyo changamoto sana hasa wilaya ya Ushetu, na nyingine

Mungu ainusuru Tanzania, Tunakoelekea ni pabaya uadilifu maofisini unapotea kabisa.
 
Maeneo mengi ya vijijini watendaji wamegeuka miungu watu huku wakidai pesa nyingi kwa ajili ya kuwapa hiyo namba

Ikumbukwe waombaji mkopo ni watoto wa masikini kwa asilimia kubwa lakini nchi ipo bize na uchaguzi hamna wa kusema

Watu wanatozwa hadi laki ili apate namba ya utambulisho wa makazi

Watendaji hawakai ofisini kila muda wananchi wanahangaika maofisini watendaji hawapo

Mtoto wa kike anaambiwa njoo nyumbani, nipo nyumbani nafanya kazi nyingine za kiofisi. Ni mazingira hatarishi kwa watoto wa kike.

Pia hii kitu imetengeneza mazingira ya rushwa kwa watendaji

Hivyo HESLB na wakurugenzi na mamlaka zinazohusika zijikite kuhakikisha wananchi wanahudumiwa kwa haki na usawa maana nchi hii ni ya kwetu sote. Inafikia inakuwa ngumu mpaka watu wanatamani kuikimbia.

Mfano mkoa wa Simiyu, nimekutana na hiyo changamoto sana hasa wilaya ya Ushetu, na nyingine

Mungu ainusuru Tanzania, Tunakoelekea ni pabaya uadilifu maofisini unapotea kabisa.
wasumbufu miungu watu sasa
 
Ushetu ni wilaya iliyopo mkoa wa Shinyanga na sio Simiyu.
 
Usipopaza sauti kuhusu katiba mpya kila mtu atafikiwa kitofauti tofauti tu. #NoReformsNoElection.
 
Back
Top Bottom