Wateja wa mbaazi

Wateja wa mbaazi

masaumbe

Member
Joined
May 28, 2013
Posts
42
Reaction score
11
Habari wana JF,naomba msaada wa kuelekezwa au kuambiwa wapi naweza pata wateja wa Mbaazi hapa Dar es Salaam,Zipo 32 Tani,No yangu ya simu ni 0717332652.

Shukrani.
 
Habari wana JF,naomba msaada wa kuelekezwa au kuambiwa wapi naweza pata wateja wa Mbaazi hapa Dar es Salaam,Zipo 32 Tani,No yangu ya simu ni 0717332652.

Shukrani.
achana na hao wanaokukatisha tamaa. nimekupigia cm sasa hv tumeongea zikifika nijulishe km mzigo uko pw tunachukua wote, na hata kama huko songea unatani zingine we lete tu
 
achana na hao wanaokukatisha tamaa. nimekupigia cm sasa hv tumeongea zikifika nijulishe km mzigo uko pw tunachukua wote, na hata kama huko songea unatani zingine we lete tu

Nimekusoma Mkuu,Kilimo Kinalipa sanaa,vijana tuchangamkie Fursa.
 
Habari wana JF,naomba msaada wa kuelekezwa au kuambiwa wapi naweza pata wateja wa Mbaazi hapa Dar es Salaam,Zipo 32 Tani,No yangu ya simu ni 0717332652.

Shukrani.

Pole Kaka kwa jibu moja lisilofaa ulilopata hapo juu. Kuwa mvumilivu, watu huku wana machungu ya kusaka ajira!

Pamoja na ofa nzuri toka kwa Mkuu Akiri, waombe wahusika wakuhamishie uzi wako kwenda kwenye Forum ya Matangazo Madogo. Utatakiwa vilevile uweke bei kwa kilo na mzigo ulipo!
 
Back
Top Bottom