Watatu wakamatwa na meno ya Tembo eneo la Kibamba

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,717
55,819
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakamata watu 3 wakiwa na nyara za serikali za vipande 5 vya meno ya Tembo eneo la Kibamba Dar es salaam.
 
Aisee, elimu kwa umma bado haijafika vya kutosha kwa wananchi. Tembo wetu wataisha
 
Back
Top Bottom