Naomba wote tufahamu kuwa kuna political na professional presidential appointments. Political presidential appointment ni pamoja na ukuu wa mkoa, wilaya, mabalozi, ukuu wa bodi mbalimbali, mawaziri, manaibu mawaziri n.k. Sifa za uteuzi wa nafasi hizi ni nyingi kuziainisha lakini pia ni RAIS atakavyoona inafaa (elimu na ujuzi sio vigezo cha msingi). Mf. Tumewahi kuwa na waziri ambaye ni mtaalamu wa mifupa lakini aliongoza wizara ya Ulinzi.
Professional presidential appointments, pamoja na sifa nyingine nyingi lakini ni lazima Elimu na ujuzi viwe ni vigezo cha msingi. Haiwezekani uwe mtaalamu wa mifupa kisha ukawe katibu mkuu wa wizara ya fedha, HAIWEZEKANI. Ukiwa mtaalamu wa mifupa au fani yoyote ya udaktari subiria ukatibu mkuu wizara ya Afya au ukurugenzi wa halmashauri n.k.
Kwa maelezo hayo mafupi, naomba sote tufahamu kuwa Makonda hakuteuliwa ukuu wa wilaya na baadae ukuu wa Mkoa kwa ajili ya vyeti sababu ukuu wa wilaya na mkoa ni political presidential appointments na sio professional presidential appointment.
Hoja ya vyeti ingetiki sana kama Makonda angekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote sababu ukurugenzi ni professional presidential appointment sawa na ukatibu wa wizara.
Hoja ya vyeti inashikiliwa bango kwa wingi na wale ambao, kama sio wauzaji wa madawa basi wana maslahi binafsi na mapana katika hayo madawa ya kulevya. NAUOMBA UMMA wa Watanzania, Turudi katika HOJA YA MADAWA YA KULEVYA, Makonda amesaidia kuuwasha Moto, TUMUUNGE MKONO. Kama amekosea approach, basi turekebishe na kusonga mbele katika VITA na sio kujadili kuhusu mtu mmoja mmoja. MADAWA YA KULEVYA NI JANGA!!!!
Nawasilisha.
Professional presidential appointments, pamoja na sifa nyingine nyingi lakini ni lazima Elimu na ujuzi viwe ni vigezo cha msingi. Haiwezekani uwe mtaalamu wa mifupa kisha ukawe katibu mkuu wa wizara ya fedha, HAIWEZEKANI. Ukiwa mtaalamu wa mifupa au fani yoyote ya udaktari subiria ukatibu mkuu wizara ya Afya au ukurugenzi wa halmashauri n.k.
Kwa maelezo hayo mafupi, naomba sote tufahamu kuwa Makonda hakuteuliwa ukuu wa wilaya na baadae ukuu wa Mkoa kwa ajili ya vyeti sababu ukuu wa wilaya na mkoa ni political presidential appointments na sio professional presidential appointment.
Hoja ya vyeti ingetiki sana kama Makonda angekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote sababu ukurugenzi ni professional presidential appointment sawa na ukatibu wa wizara.
Hoja ya vyeti inashikiliwa bango kwa wingi na wale ambao, kama sio wauzaji wa madawa basi wana maslahi binafsi na mapana katika hayo madawa ya kulevya. NAUOMBA UMMA wa Watanzania, Turudi katika HOJA YA MADAWA YA KULEVYA, Makonda amesaidia kuuwasha Moto, TUMUUNGE MKONO. Kama amekosea approach, basi turekebishe na kusonga mbele katika VITA na sio kujadili kuhusu mtu mmoja mmoja. MADAWA YA KULEVYA NI JANGA!!!!
Nawasilisha.