Tumekuwa na ccm na wazazi wake (TANU na ASP) kwa miaka 54 sasa toka tupate uhuru mnamo December 9,1961.Tumekuwa tukiichagua ccm yenye watu wale wale na sera zile zile kwa miaka 35 sasa.
Mwalimu Nyerere tangu alipowaambia watawala wetu kwamba watanzania wanataka mabadiliko ni zaidi ya miaka 14 sasa na hakuna lililofanywa na ccm mpaka wananchi tulivyoamua kufanya hayo mabadiliko miaka miwili iliyopita kupitia rasimu ya pili ya katiba mpya,hata hivyo ccm walituchakachua, wakiongozwa na samwel Sita na samia kwa kuwa hawakutaka tufanye mabadiliko.Leo tumeamua kutaka kufanya mabadiliko kwa njia ya kura ccm na mgombea wao Magufuli na samia( aliyeongoza wenzake kutunyima mabadiliko kupitia katiba mpya) sasa wanajifanya wanaweza kutuongoza kwenye mabadiliko tunayoyataka-UONGO HUU,wanakuja na propoganda lukuki kwa kutumia watu tofauti tofauti lakini yote ni uongo
Mwananchi wa Tanzania nakuomba orodhesha mambo ambayo ukawa wanaahidi kutufanyia likiwemo suaLa la katiba mpya tukiwapa kura,then wape kura yako.Kwenye uchaguzi wa 2020 kazi yako ni moja tu kuangalia kama mambo hayo yametekelezwa au laa.Kama yametekelezwa utawapa kura yako tena hiyo 2020 kama hayajatekelezwa usiwape kura.
TANZANIA NI ZAIDI YA CCM NA NI ZAIDI YA CHADEMA
Tujifunze kuipenda nchi yetu.
JK aliahidi kujenga reli ya kati,Je imejengwa?
Aliahidi kuifanya kigoma kama Dubai imekuwa hivyo?
Hiyo ni mifano michache tu,Chukua daftari lako,pitia kile ulichooahidiwa ten years ago kama hakijafanyika,SEMA NO KWA CCM,haijarishi wewe ni mwanachama au siyo.
ACHA KUPIGA KURA KWA MAZOEA.Kura yako inadhamani sana kwa nchi yako na familia yako
Mwalimu Nyerere tangu alipowaambia watawala wetu kwamba watanzania wanataka mabadiliko ni zaidi ya miaka 14 sasa na hakuna lililofanywa na ccm mpaka wananchi tulivyoamua kufanya hayo mabadiliko miaka miwili iliyopita kupitia rasimu ya pili ya katiba mpya,hata hivyo ccm walituchakachua, wakiongozwa na samwel Sita na samia kwa kuwa hawakutaka tufanye mabadiliko.Leo tumeamua kutaka kufanya mabadiliko kwa njia ya kura ccm na mgombea wao Magufuli na samia( aliyeongoza wenzake kutunyima mabadiliko kupitia katiba mpya) sasa wanajifanya wanaweza kutuongoza kwenye mabadiliko tunayoyataka-UONGO HUU,wanakuja na propoganda lukuki kwa kutumia watu tofauti tofauti lakini yote ni uongo
Mwananchi wa Tanzania nakuomba orodhesha mambo ambayo ukawa wanaahidi kutufanyia likiwemo suaLa la katiba mpya tukiwapa kura,then wape kura yako.Kwenye uchaguzi wa 2020 kazi yako ni moja tu kuangalia kama mambo hayo yametekelezwa au laa.Kama yametekelezwa utawapa kura yako tena hiyo 2020 kama hayajatekelezwa usiwape kura.
TANZANIA NI ZAIDI YA CCM NA NI ZAIDI YA CHADEMA
Tujifunze kuipenda nchi yetu.
JK aliahidi kujenga reli ya kati,Je imejengwa?
Aliahidi kuifanya kigoma kama Dubai imekuwa hivyo?
Hiyo ni mifano michache tu,Chukua daftari lako,pitia kile ulichooahidiwa ten years ago kama hakijafanyika,SEMA NO KWA CCM,haijarishi wewe ni mwanachama au siyo.
ACHA KUPIGA KURA KWA MAZOEA.Kura yako inadhamani sana kwa nchi yako na familia yako