kibunange
Senior Member
- Feb 18, 2015
- 165
- 148
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kwenye mitandao na maeneo mengi na nimegundua watanzania wengi hawana mbinu za uandishi eidha kwa makusudi au kwakutokujua mfano:
Fedha=feza
Thamani=Samani
Mpira=Mpila
Teremka=Telemka
Basi=Bax
Pia wengi wamekuwa wakiandika jumbe ambazo mwishowe hazileti maana au mantiki na hivyo kumfanya msomaji kupuuzia ujumbe husika. Kunatakiwa jitihada kubwa sana kuwasaidia vijana kuweza kuandika kwa ufasaha.
Asanteni tujirekebishe
Fedha=feza
Thamani=Samani
Mpira=Mpila
Teremka=Telemka
Basi=Bax
Pia wengi wamekuwa wakiandika jumbe ambazo mwishowe hazileti maana au mantiki na hivyo kumfanya msomaji kupuuzia ujumbe husika. Kunatakiwa jitihada kubwa sana kuwasaidia vijana kuweza kuandika kwa ufasaha.
Asanteni tujirekebishe