Watanzania Wakati wa Maamuzi Magumu Umefika ama la Kuvua Gamba Kabisa

KWeli watz tumezidi kuwa makondoo, hebu imagine mafuta yameadimika kama wki hivi alafu tunalalamika tu zingekuwa nchi zenye wananchi seriouz leo hii historia ingekuwa imeandikwa lakini kwakuwa tunalinda amani basi wacha watugeuze wanavyotaka na watuchezee wanavyotaka.
Tanzania ndiomana tunaendelea kuwa maskini kwasababu ya unafki wa kulalamika bila kuchukua maamuzi.
 
Sijui ni uoga sijui ni ujinga yaani sielewielewi inakuaje tunapigwa dana dana kama kitenesi,wanapasiana tu mara huyu mara yule ili mradi kutuzungusha vichwa tu,JAMANI EEH TUCHUKUE HATUA.

Na hatua hiyo ni sasa na si wakati mwingine
 
"huu ni uchochezi na kukiuka misingi ya amani na utulivu iliyojengwa na waasisi wa nchi hii, na hatutawavumilia kabisa muwahamasishe wananchi kuichukia serikali yao waliyoiweka wenyewe madarakani"

Haya ndio majibu ya viongozi serikalini pamoja na wabunge wa magamba (pamoja na mrema) watakayowajibu wanaotoa hoja hiyo.

Unadhani mabadiliko tutayapata kwa upotoshwaji huu wa hali halisi?

Huwezi kuwa Serious, kajipange upya
 
Bishop njia ya mazungumzo hapa haifai na wala haina tija maana utaishia kupewa ahadi ambazo utekelezaji wake unakuwa ziro

Tumeyasikia mengi mkuu na bado tutayasikia Mengi mfano mzuri ni huu Wizara ya Nishati na Madini kuwasaha umeme wakati Bajeti yao inakaribia kurejeshwa Bungeni baada ya hapo kiza jumla
 
Hakuna cha aman mkuu but watanzania tumejaa woga.ndo maana ni rahisi kuburuzwa.na hapo bado mpaka tutie akili, tutalalamika sn kwa woga wetu.
 
Kuna haja kweli ya kuendelea kusema kuwa tunaogopa
<br />
<br />
watanzania wanao jitambua ni wachache sn.wengi wakipewa kanga na kofia mara moja kwa miaka5 hawakumbuki tna walikotoka.mind lebarated ndo hao viongozi wanawaita wanaharakati,wanataka nchi isitawalike,wanataka kumwaga damu nk.je kwa maneno haya yanaotolewa na vongozi wa nchi woga lazima utakuwepo mkuu.
 
Mimi kwa upande wangu naona malalamiko yametosha sasa ni muda muafaka tuambizane kwamba tufanye nini ili kuleta mageuzi ya kweli?
 
Back
Top Bottom