GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Tumekuwa wepesi sana kuhadaika na wepesi sana kushangilia mambo yasiyokuwa na msingi huku Nchi inatafunwa na ukali wa masiha sasa hausemekani. Awali nilidhani labda ni kwa sababu ya Mfungo wa Ramadhani.
Hivi tunasemaje juu ya Mfumko wa Bei:
- Ubadhilifu uluiokithiri serikalini
- Uozo kila Bajeti ya Wizara inayotia Timu Bungeni
- Giza la Ajabu Nchi Nzima
- Uhaba wa Maji unaoendana na kukosekana kwa umeme
- Bei ya Mafuta isiyoeleweka
- Ubinafsi na Bifu za Viongozi kwa masilahi ya familia zao na mengine mengi name them, hata nacheleea kuandika data maana yamezungumzwa hapa JF mpaka yamechosha
My Take:
Honey moon ya Serikali imekwisha
ADIOS