Dah! Hivi tutajifunza lini kuacha tabia hizi za kishenzi? Hawa watu ndio wanaowafanya Watanzania walio wema wanyimwe viza! Tuiombe serikali ya Oman iwarejeshe waje kula mkong'oto wa nguvu, in public, iwe fundisho kwa wengine! Dawa yao hawa ni kuwatia ulemavu wa maisha... kata kiganja cha mkono (kosa la kwanza), akirudia unakata kilichobaki, akirudia unakata mkono mmoja, akirudia unakata mwingine, mpaka atabakia hana viungo...
Next......?