britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mtanzania Anthony ***** aishiye Ngara road Kenya amesema kwa siku za karibuni polisi wa kenya wamekuwa wanatumia nguvu na ubabe sana pindi wanapokutana na watanzania,
Watanzania wanaofanya kazi Kenya wanalalamika kwamba mpaka sasa watanzania 13 wameshakamatwa na askari na. kutozwa hela kiholela, saa nyingine wanayachana makusudi makaratasi ya kumruhusu watanzania kuwa Kenya ili wamsingizie yupo nchini kinyume cha sheria,
"Ukiwakuta njiani ukawaonesha vibali wanakishikiria wanasema tuoneshe yellow fever card kama unayo wanauliza leta hotel uliyobook, kila kitu kikiwa sawa wanasema permit yako si valid ni fake,.ukikataa wanichana na kupoteza ushahidi ili uonekane umeingia nchini kinyume, na ukishapelekwa kituoni mpaka ujieleze wakuelewe so leo,"
Anatoa usharui kwa watanzania "kuwa makini wawapo njiani au wanapotembea usiku, au wanavyopanga nyumba wasiji expose sana kwa majirani maana hutoa taarifa kwa polisi wale nao hela,"
Watanzania wanaofanya kazi Kenya wanalalamika kwamba mpaka sasa watanzania 13 wameshakamatwa na askari na. kutozwa hela kiholela, saa nyingine wanayachana makusudi makaratasi ya kumruhusu watanzania kuwa Kenya ili wamsingizie yupo nchini kinyume cha sheria,
"Ukiwakuta njiani ukawaonesha vibali wanakishikiria wanasema tuoneshe yellow fever card kama unayo wanauliza leta hotel uliyobook, kila kitu kikiwa sawa wanasema permit yako si valid ni fake,.ukikataa wanichana na kupoteza ushahidi ili uonekane umeingia nchini kinyume, na ukishapelekwa kituoni mpaka ujieleze wakuelewe so leo,"
Anatoa usharui kwa watanzania "kuwa makini wawapo njiani au wanapotembea usiku, au wanavyopanga nyumba wasiji expose sana kwa majirani maana hutoa taarifa kwa polisi wale nao hela,"