KITINDIKITAMU
Senior Member
- Nov 3, 2019
- 189
- 356
Wakuu habari.
I hope mko good.
Wadau niliona msanii Harmonize anatangaza kuwa atakuwa na show kule mkoani Shinyanga Jana tarehe 9 Nov,sijafuatilia tena nini kilijiri maana ni kimya kuanzia kwenye media partners wake Cloud's na E-fm na social page zao kuanzia Harmonize na wenzie ni kumepoa.
Naona kama wananchi na wadau wa burudani wako bize kujadili Wasafi Festival tu,au ndio kusema ilihairishwa maana sioni kwenye vyanzo vyote wakiposti kuhusu show ya Kondeboy,hili limenisikitisha sana.
Waandishi na Wadau Ilitakiwa wawe na balance ya kulipoti show zote mbili za jana na si kuegemea upande mmoja.
I hope mko good.
Wadau niliona msanii Harmonize anatangaza kuwa atakuwa na show kule mkoani Shinyanga Jana tarehe 9 Nov,sijafuatilia tena nini kilijiri maana ni kimya kuanzia kwenye media partners wake Cloud's na E-fm na social page zao kuanzia Harmonize na wenzie ni kumepoa.
Naona kama wananchi na wadau wa burudani wako bize kujadili Wasafi Festival tu,au ndio kusema ilihairishwa maana sioni kwenye vyanzo vyote wakiposti kuhusu show ya Kondeboy,hili limenisikitisha sana.
Waandishi na Wadau Ilitakiwa wawe na balance ya kulipoti show zote mbili za jana na si kuegemea upande mmoja.