Watanzania tusiichoke amani

Watanzania tusiichoke amani

Bila HAKI Amani ni Ujinga tu.
Ujinga ni ule ambao unapinga amani kwa sura ya haki.....

Hivi huoni ni haki yako ya msingi wewe kupata amani....ili ikusaidie ufanye yako huku ukijenga familia iliyo bora...!!!
 
imhotep
Hao watu wanaotusihi tudumishe amani, mbona hawaulizi ni kwanini nchi yetu imekuwa na msamiati mpya ya WATU WASIOJULIKANA?

Hivi wanadhani kuwa nchi yetu itaendelea kudumisha AMANI, wakati watu wanapotea bila kujulikana wako wapi?
inakupasa wewe ushirikiane na Serikali yako katika kulitatua hili Chief
 
Ujinga ni ule ambao unapinga amani kwa sura ya haki.....

Hivi huoni ni haki yako ya msingi wewe kupata amani....ili ikusaidie ufanye yako huku ukijenga familia iliyo bora...!!!
Bila HAKI bro hakuna Amani ni kujidanganya
 
Kuna mgombea amshakata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji

Anawadanganya vijana waandamane baada ya Watanzania kumkataa

Nitashangaa vijana kuandamana Kwasababu ya msaliti wa Nchi
Amani bila haki ni muhali leta haki ulinde Amani
 
Ndio nakuambia Tanzania kuna haki kuliko kwa wavamizi wazanzibar kutoka Oman

Wanaojihisi Zanzibar ni kwao kuliko wazanzibari wengine
Wacha uzwazwa na ujinga Tanzania ni Nchi ya KIDEMOKRASIA Omani ni ya Kifalme unafananishaje ???
 
Ndio nakuambia Tanzania kuna haki kuliko kwa wavamizi wazanzibar kutoka Oman

Wanaojihisi Zanzibar ni kwao kuliko wazanzibari wengine
Ya ZANZIBAR ww hayakuhusu mkoloni mweus ww umetawalia na Muengereza mbona sisi tupokimya wacha ukikekike shuhulikia spana za Tundu si mliomba mletewe kijana hamtaki shikamoo kijana mmeletewa huyoo mnahangaika nawe mabomu kila kona na bado shenz nyinyi tuone mwaka huu Jeshi mtapeleka Zanzibar au myalibakisha TANDAHIMB
 
Huyu lissu yuko hoi tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume

Toka nianze kupiga kura sijawahi kushuduia mgombea mbovu wa upinzani kama huyu msaliti wa Nchi Lissu

jeshi lipo kila kona kulinda amani, km hamuamini fanyeni vurugu hata mkiwa chumbani
Ya ZANZIBAR ww hayakuhusu mkoloni mweus ww umetawalia na Muengereza mbona sisi tupokimya wacha ukikekike shuhulikia spana za Tundu si mliomba mletewe kijana hamtaki shikamoo kijana mmeletewa huyoo mnahangaika nawe mabomu kila kona na bado shenz nyinyi tuone mwaka huu Jeshi mtapeleka Zanzibar au myalibakisha TANDAHIMB
 
Amani hutanguliwa na haki nà haki haiji ila kwa ncha ya upanga japo steji hii ni ya kujitakia na tunailazimisha wenyewe.sio lazima tufike huku.
 
Huyu lissu yuko hoi tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume

Toka nianze kupiga kura sijawahi kushuduia mgombea mbovu wa upinzani kama huyu msaliti wa Nchi Lissu

jeshi lipo kila kona kulinda amani, km hamuamini fanyeni vurugu hata mkiwa chumbani
Mbovu mmekodi mpka Jeshi la hakiba nani bado hamjamtia uwanjani
Mecela tyr
Mama Maria tyr
Kikwete tyr
Pinda tyr
Sumae tyr
Lowasa tyr
Nape tyr
Kinana tyr
Mangula tyr
Jamaa ana dunda na Ponda tuu
Alafu unambie huu ni rahis kwako jikaze tuu
 
Wala sijasoma makala yake.
Ndio maana CCM Bado inatawala,kwa sababu wajinga Bado wapo wengi.
Ni rahisi Sana.
Hivi ukimpa mtu Haki yake,atawezaje kuvunja amani?
Chukulia mfano,umemwajiri mtu akufanyie kazi,halafu akafanya kwa ukamilifu,halafu ukamnyima ujira wake(haki yake) Ni Nini kitafuata?
kutakua na amani?.
 
Mwiteni Robert yule asiyekuwa na mke amsaidie msaliti wa Nchi Lissu afikishe kura walau laki tano
Mbovu mmekodi mpka Jeshi la hakiba nani bado hamjamtia uwanjani
Mecela tayari...
 
Amani ina zaa usalama na utulivu. Lakini hivi haviji hivi hivi bali vina msingi wake wa kuvistawisha. Haiwezikani mmea uukoseshe maji sababu ni kuwa Jua mwangaza wake linachangia linastawisha mimea?! Hakuna kanuni za namna hiyo duniani.

Hakuna asiye na mzazi! Amani ni mtoto wa haki.
 
Back
Top Bottom