Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hivi tulishawahi kuona au kujiuliza maswahi haya na jamiii zetu?
1. Kwanini viongozi wetu hutubiwa nje ya nchi? Hata kupima BP tu?
2. Kwanini deni la taifa linakuwa kama sio kukopa sana Usd Dollar kwa matumizi ya serikali na kupunguza inflation ambayo bado ni kitendawili kwa JK
3. Kwa nini migomo nchini haishi na tunaambiwa bajeti zinapangwa na hazitekelezeki?
4. Kwanini mikataba ya madini wanasema ni siri?
5. Kwanini kila siku tunasema CHADEMA ndo chanzo cha tatizo
1. Kwanini viongozi wetu hutubiwa nje ya nchi? Hata kupima BP tu?
2. Kwanini deni la taifa linakuwa kama sio kukopa sana Usd Dollar kwa matumizi ya serikali na kupunguza inflation ambayo bado ni kitendawili kwa JK
3. Kwa nini migomo nchini haishi na tunaambiwa bajeti zinapangwa na hazitekelezeki?
4. Kwanini mikataba ya madini wanasema ni siri?
5. Kwanini kila siku tunasema CHADEMA ndo chanzo cha tatizo