Watanzania tulio nje ya nchi

Watanzania tulio nje ya nchi

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Watanzania wenzangu tulio nje ya nchi nawasihi tuanze kufanya mipango mapema kwa ajili ya kurudi nyumbani mwezi wa 10.

Tafadhali tusifanye uzembe wa aina yoyote tukashindwa kurudi kupiga kura, kura yako ni muhimu sana kwani 1 huongeza nyingine.
 
KARIBUNI sana tunahitaji kura zenu kumaliza tatizo kubwa linaloikabili nchi hii kama ufisadi wa EPA,ESCROW,BOMBA LA GESI,VICHWA VIBOVU VYA TRENI,MABEHEWA MABOVU NA VIVUKO CHAKAVU
 
bila kusahau kiwira na mauaji ya wana cuf zanzibar
 
Wewe ni watanzania wangapi wanaoishi nje ya nchi na hawakujiandiksha katika daftari la wapiga kura, kama unataka kurudi na kusalimia familia yako sawa ila sio kwenda kupiga kura,
 
Watanzania Wenzangu Tulio Nje Ya Nchi Nawasihi Tuanze Kufanya Mipango Mapema Kwa Ajili Ya Kurudi Nyumbani Mwezi Wa 10 Tafadhali Tusifanye Uzembe Wa Aina Yoyote Tukashindwa Kuludi Kupiga Kura, Kura Yako Ni Mhim Sana Kwani 1 Huongeza Nyingine

Sawa mkuu. KLM wamenipigia leo kunifahamisha wamesogeza mbele hadi tarehe 23 October. Hivyo natumai ntawahi kupiga kura. Sijajua kama ntawahi hadi Dodoma maana ndo nilijiandikishia huko. :glasses-nerdy:
 
Mkuu, una maana gani?

Wote walio nje ya nchi walipata muda wa kwenda bongo kujiandikisha? Au NEC iliruhusu kujiandikisha ki-elektroniki kwa

walio nje ya nchi au?
 
Nami nilitamani san nije nimpigie Magufuli, najihic nyonge sana, kwani ratiba yangu hainiruhusu kabisa, lakini nimejitahidi kwa kiwango changu kumsaidia kutokea huku huku
 
Nami nilitamani san nije nimpigie Magufuli, najihic nyonge sana, kwani ratiba yangu hainiruhusu kabisa, lakini nimejitahidi kwa kiwango changu kumsaidia kutokea huku huku

Mi Nitakuwakilisha, Magufuri Juu Zaid
 
Watanzania Wenzangu Tulio Nje Ya Nchi Nawasihi Tuanze Kufanya Mipango Mapema Kwa Ajili Ya Kurudi Nyumbani Mwezi Wa 10 Tafadhali Tusifanye Uzembe Wa Aina Yoyote Tukashindwa Kuludi Kupiga Kura, Kura Yako Ni Muhimu Sana Kwani 1 Huongeza Nyingine.


Wewe uko nje ya nchi ipi maana tuna umoja wetu

Au ndo upo na Slaa?
 
Watanzania Wenzangu Tulio Nje Ya Nchi Nawasihi Tuanze Kufanya Mipango Mapema Kwa Ajili Ya Kurudi Nyumbani Mwezi Wa 10 Tafadhali Tusifanye Uzembe Wa Aina Yoyote Tukashindwa Kuludi Kupiga Kura, Kura Yako Ni Muhimu Sana Kwani 1 Huongeza Nyingine.

Kwani kikatio unacho? Ilitakiwa Kuja kujiandikisha kwanza
 
Wengine walishapiga kura kwa miguu yao.
 
Kabisa mkuuu.
Na kama nauli ni tatizo semeni tuwatumie.
 
Back
Top Bottom