Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
WanaJF, niingie moja kwa moja kwny habari, kwamba watanzania tunatakiwa wote kujiandaa kisaikologia na ufahamu kuwa huenda tukapata uhaba mkubwa wa Mafuta ya magari kutokana na vita tarajiwa kati ya US na Iran.
Rais wa Marekani Jana aliamru mashambulizi dhidi ya Iran kuanzia Leo Ijumaa alfajiri kwa kulenga maeneo matatu muhimu ya kuanzia ambayo ni Maghala na viwanda vya silaha, vituo vya kurushia makombora na radar zote pia viwanja vya ndege vyote isipokuwa kiwanja kimoja tu hakijatajwa.
Imeelezwa kuwa tayari ndege 30 za mwanzo zilikuwa angani kusubiri amri ya mwisho kutoka kwa Rais.
Baadaye Leo dakika chache kabla muda kufika wa kuanza mashambulizi Bwana D. Tramph alisitisha kuanza kwa operation hiyo.
Chanzo: DW NEWS
Natumaini Mungu kasikia kilio cha wengi maana vita hiyo itaangamiza maelfu ya Raia wa Iran.
Je, wewe msomaji na mwanajf umejiandaje?
Rais wa Marekani Jana aliamru mashambulizi dhidi ya Iran kuanzia Leo Ijumaa alfajiri kwa kulenga maeneo matatu muhimu ya kuanzia ambayo ni Maghala na viwanda vya silaha, vituo vya kurushia makombora na radar zote pia viwanja vya ndege vyote isipokuwa kiwanja kimoja tu hakijatajwa.
Imeelezwa kuwa tayari ndege 30 za mwanzo zilikuwa angani kusubiri amri ya mwisho kutoka kwa Rais.
Baadaye Leo dakika chache kabla muda kufika wa kuanza mashambulizi Bwana D. Tramph alisitisha kuanza kwa operation hiyo.
Chanzo: DW NEWS
Natumaini Mungu kasikia kilio cha wengi maana vita hiyo itaangamiza maelfu ya Raia wa Iran.
Je, wewe msomaji na mwanajf umejiandaje?