Watanzania tuchangamkie fursa British Virgin Island

TADPOLE

JF-Expert Member
Nov 18, 2015
2,794
9,035
British virgin island ni kisiwa kinachopatikana marekani kaskazin kusini mwa nchi ya puerto rico ni moja kati ya nchi za carribean.Kisiwa Hiki kina watu wapatao 28,000s ambao ni raia halisi wa nchi hiyo na wahamiaji wapatao 80000s wahamiaji ni wengi kuliko wenyeji wengi wao wakiwa wamarekani.Mji Mkuu wa nchi hiyo ni road town unaopatikana kisiwani toltola.

Nchi hii ina visiwa takribani 15.Fursa Za kiuchumi zinazopatikana huko ni financial banking,nursering,walimu,na kazi nyingine kwa wenzetu wenye elimu,kwa sisi ambao hatuna elimu kazi zetu ni umachinga,utaxi driver lakini wizi hautakiwi kuna sheria kali za kudhibiti uhalifu.

Nimeishi huko kwa miaka kumi nikisaka maisha.Salary Kwa workers wa kawaida kwa mwezi ni usd 2,345 kima cha chini hiko.Nchi Hii wanatumia dollar za marekani,wandugu hiyo ni fursa ni simple tu chukua ndege hadi usa halafu chukua tena ndege ya huko hadi kwenye uwanja wa ndege wa terrence int,airp mjini road town maisha popote mimi ningelala naiman nisingefika hapa nilipo
 
garama ya kufika huko ikoje na ukifika huko hizo fursa kuzipata unahitaji uwe na kiasi gani au unazipataje
 
Tarifa yako nzuri ila haijajitosheleza. Mtu hawezi kuja huko bila kuwa na taratibu za kujua akifika huko anaanzia wapi. Vyema ungejaribu kufafanua ili iwe rahisi kwa mtu kujua anakuja huko na akifika Luna A to Z
 
British virgin island ni kisiwa kinachopatikana marekani kaskazin kusini mwa nchi ya puerto rico ni moja kati ya nchi za carribean.Kisiwa Hiki kina watu wapatao 28,000s ambao ni raia halisi wa nchi hiyo na wahamiaji wapatao 80000s wahamiaji ni wengi kuliko wenyeji wengi wao wakiwa wamarekani.Mji Mkuu wa nchi hiyo ni road town unaopatikana kisiwani toltola.

Nchi hii ina visiwa takribani 15.Fursa Za kiuchumi zinazopatikana huko ni financial banking,nursering,walimu,na kazi nyingine kwa wenzetu wenye elimu,kwa sisi ambao hatuna elimu kazi zetu ni umachinga,utaxi driver lakini wizi hautakiwi kuna sheria kali za kudhibiti uhalifu.

Nimeishi huko kwa miaka kumi nikisaka maisha.Salary Kwa workers wa kawaida kwa mwezi ni usd 2,345 kima cha chini hiko.Nchi Hii wanatumia dollar za marekani,wandugu hiyo ni fursa ni simple tu chukua ndege hadi usa halafu chukua tena ndege ya huko hadi kwenye uwanja wa ndege wa terrence int,airp mjini road town maisha popote mimi ningelala naiman nisingefika hapa nilipo
British virgin island ni kisiwa kinachopatikana marekani kaskazin kusini mwa nchi ya puerto rico ni moja kati ya nchi za carribean.Kisiwa Hiki kina watu wapatao 28,000s ambao ni raia halisi wa nchi hiyo na wahamiaji wapatao 80000s wahamiaji ni wengi kuliko wenyeji wengi wao wakiwa wamarekani.Mji Mkuu wa nchi hiyo ni road town unaopatikana kisiwani toltola.

Nchi hii ina visiwa takribani 15.Fursa Za kiuchumi zinazopatikana huko ni financial banking,nursering,walimu,na kazi nyingine kwa wenzetu wenye elimu,kwa sisi ambao hatuna elimu kazi zetu ni umachinga,utaxi driver lakini wizi hautakiwi kuna sheria kali za kudhibiti uhalifu.

Nimeishi huko kwa miaka kumi nikisaka maisha.Salary Kwa workers wa kawaida kwa mwezi ni usd 2,345 kima cha chini hiko.Nchi Hii wanatumia dollar za marekani,wandugu hiyo ni fursa ni simple tu chukua ndege hadi usa halafu chukua tena ndege ya huko hadi kwenye uwanja wa ndege wa terrence int,airp mjini road town maisha popote mimi ningelala naiman nisingefika hapa nilipo
Vipi living cost chumba bei gani huko!
 
Mkuu Hata Mimi Sikupenda Niwaache Njian Ila Device Yangu Inazingua Haitaki Kuccoment Sa Sijui Ni Nini Lakin Naruhusu Maswali Inbox Mwenye Swali Sitachoka Kumjibu
uninstall jf app kisha install tena..itakubali kucoment...inbox watu wengi wanahitaji hiyo taarifa kwahiyo wataikosa
 
Kama naota vileee.ivi ukifika u.s.a kwenda huko kunalazimu uwe na VISA ya huko au ?
 
British virgin island ni kisiwa kinachopatikana marekani kaskazin kusini mwa nchi ya puerto rico ni moja kati ya nchi za carribean.Kisiwa Hiki kina watu wapatao 28,000s ambao ni raia halisi wa nchi hiyo na wahamiaji wapatao 80000s wahamiaji ni wengi kuliko wenyeji wengi wao wakiwa wamarekani.Mji Mkuu wa nchi hiyo ni road town unaopatikana kisiwani toltola.

Nchi hii ina visiwa takribani 15.Fursa Za kiuchumi zinazopatikana huko ni financial banking,nursering,walimu,na kazi nyingine kwa wenzetu wenye elimu,kwa sisi ambao hatuna elimu kazi zetu ni umachinga,utaxi driver lakini wizi hautakiwi kuna sheria kali za kudhibiti uhalifu.

Nimeishi huko kwa miaka kumi nikisaka maisha.Salary Kwa workers wa kawaida kwa mwezi ni usd 2,345 kima cha chini hiko.Nchi Hii wanatumia dollar za marekani,wandugu hiyo ni fursa ni simple tu chukua ndege hadi usa halafu chukua tena ndege ya huko hadi kwenye uwanja wa ndege wa terrence int,airp mjini road town maisha popote mimi ningelala naiman nisingefika hapa nilipo
Vague explanation, with no sense of purpose.
 
uninstall jf app kisha install tena..itakubali kucoment...inbox watu wengi wanahitaji hiyo taarifa kwahiyo wataikosa
We endelea kudeal na matapeli tu, utauona mwisho wake. Ameweza kuandika paragraph mbili-tatu, anashindwa kujibu maswali kwenye uzi, anataka uende inbox. Nchi ina matapeli hii ni balaa.
 
Kama naota vileee.ivi ukifika u.s.a kwenda huko kunalazimu uwe na VISA ya huko au ?
bahati nzuri tanzania ni moja ya nchi ambazo raia wake akiwa na visa ya uingereza unafika huko visa inayotumika ni ya uingereza kwa sababu nchi hyo ipo chini ya malkia wa uingereza,kupata visa ya uingereza ni rahisi kama utaenda nchi zinazotumia visa ya uk lakini kupata visa ya kwenda uk ndo ishu
 
We endelea kudeal na matapeli tu, utauona mwisho wake. Ameweza kuandika paragraph mbili-tatu, anashindwa kujibu maswali kwenye uzi, anataka uende inbox. Nchi ina matapeli hii ni balaa.
mkuu kuna sehemu ambayo mtu ameombwa hela au kuna element zozote za utapeli kwenye uzi huo,nakujibu kiustaarabu kama utaki potezea uliza walokuja inbox kama kuna mtu ambaye ametapeliwa nimejibu maswali kutokana na walivyoniuliza,we baki na umaskini wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom