Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Jaji Werema alimuita Kafulila mzushi. Tena alienda mbali zaidi na kumwita Tumbili na akataka kumpiga. Leo ukweli upo wazi.
Tunaambiwa kwamba wizi katika mradi wa mabomba ya gesi tokea Mtwara huo ni babu kubwa. Wanasema huo unazidi ufisadi wowote wa huko nyuma.
Lakini tuna watanzania wenzetu ambao waala siyo wale wa buku saba wa lumumba, wao ni kutetea mafisadi hawa. Hawa hawajapata hata mgao, lakini wao wanaridhika nchi yetu ifisadiwe. Kule Kenya, MAUMAU iliua siyo wazungu tu bali hata wakenya waliotetea ukoloni.
Nchi yetu inafilisiwa na hiki kikundi cha majambazi lakini sisi hatujali. Kikundi hiki Nyerere alikikataa, sisi tukakikubali. Na bado hatuja jutia hii dhambi.
Hakika sisi watz ni watu wa ajabu
Tunaambiwa kwamba wizi katika mradi wa mabomba ya gesi tokea Mtwara huo ni babu kubwa. Wanasema huo unazidi ufisadi wowote wa huko nyuma.
Lakini tuna watanzania wenzetu ambao waala siyo wale wa buku saba wa lumumba, wao ni kutetea mafisadi hawa. Hawa hawajapata hata mgao, lakini wao wanaridhika nchi yetu ifisadiwe. Kule Kenya, MAUMAU iliua siyo wazungu tu bali hata wakenya waliotetea ukoloni.
Nchi yetu inafilisiwa na hiki kikundi cha majambazi lakini sisi hatujali. Kikundi hiki Nyerere alikikataa, sisi tukakikubali. Na bado hatuja jutia hii dhambi.
Hakika sisi watz ni watu wa ajabu