Watanzania ni ignorants au tumelogwa? Oktoba 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

With just 7 days to come, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, lets not let CCM to fool all the people all the times!.

Kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!, unless it is very true that we are not only ignorants!, but rather stupids!, but are we real this
ignorants?!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", against this ignorance, then, "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco







 

With just two days to go, there is nothing new to say, yote yameishasemwa, sasa imebaki kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, uchaguzi ndio keshokutwa Jumapili, nini kitafanyika siku hiyo, na baada ya hapo, tukutane tena wiki ijayo, au tupongezane, au tupeane pole!.

Nchi hii inaweza tuu kubadilishwa kwa watu wenye uthubutu wa kuchukua maamuzi magumu, na kusimama wahesabiwe!.

I'm very proud kuwa ni mmoja wa wapiga kura hiyo Jumapili.

Haya shime kwa wote waliojiandikisha, tujitokeze kwa wingi, tuitumie haki yetu ya kidemokrasia kujichagulia viongozi wetu,

We have to choose our leaders and love our choices and live with or without!.

Pasco
 

wanabodi, mimi nimekubali matokeo kwa roho safi, kwa roho nyeupe!, na maadam niliishaiona possibility hii, sasa tujiandae kuufunga huu ukurasa, tuyaanze maisha mapya ya baada ya uchaguzi!.
We are real ignorants na tumelogwa vibaya!.
Pasco
 
wanabodi, mimi nimekubali matokeo kwa roho safi, kwa roho nyeupe!, na maadam niliishaiona possibility hii, sasa tujiandae kuufunga huu ukurasa, tuyaanze maisha mapya ya baada ya uchaguzi!.
We are real ignorants na tumelogwa vibaya!.
Pasco

Viva ACT, Zitto for Presidency 2020.
 
Mkuu Pasco..
Maneno yako ni ukweli mtupu Tanzania ni maskini na tutaendelea kua maskini sababu wananchi wake wanaupenda sana umaskini..
Ndomana maskini hufa maskini..

tumelogwa..
 
Hili swali bado valid, kiukweli sisi Watanzania ni ma ignorants mpaka basi!.

Pasco
 
Hili swali bado valid, kiukweli sisi Watanzania ni ma ignorants mpaka basi!.

Pasco
Watanzania wamefanya maamuzi sahihi,NEC imepuuza matakwa ya wananchi. kwa hiyo si sahihi kuendelea kuwaita watanzania ignorants kisa NEC imelazimisha kumtangaza asiye ndiye ndiye asiye
 
Kama walivyofanya Watanzania Bara, na Watanzania-Zanzibar, au Wazanzibari nao wameamua kwa kauli moja kuirudisha CCM.

Hongereni Wanzanzibari, tumeushuhudia uchaguzi, ulikuwa huru na wa haki, utulivu na amani,

Sasa uchaguzi umekwisha, tusonge mbele!.

Pasco
 
Nimeikuta hli mahli humu jf, nikaguswa nimeomba kulitumia bandiko hili kuboresha bandiko langu hili.

Pasco
 
Anachofanya rais Magufuli ni kuutumia udikiteta kuondoa ujinga na umasikini!, tumuunge mkono!.

Pasco
 
Ushindi wa CCM kwenye udiwani, umenifanya nitafakari haya mabandiko kuhusu CCM, jinsi sasa inavyopendwa na watu na kuchaguliwa kwa kishindo!.

Paskali
 
Hata kuchagua hawa wabunge hebu tufuatilie akili za waliowachagua, huenda huko ndio kuna tatizo kubwa zaidi ya tunavyofikiri.
Mkuu pili pili kichaa, bandiko lako linasadifu hapa, sisi ndio tunaowachagua hawa ma ignorants kwa sababu wengi wetu ni ma ignorants.

P
 
Nafanya tuu rejea hoja za bandiko hili na uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha ni Jumamosi hii. Sitashangaa kama majimbo yote mawili, CCM itashinda kwa kishindo!.
Hivi ndivyo Watanzania tulivyo.
P.
 
Tanzania is amongst the most blessed countries in the world.
Mkuu DEU87 , kwanza asante sana kwa mada hii, naunga mkono hoja, Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana tuu, ila...
Karibu mitaa hii, hili tumelijadili sana humu Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows! na hapa Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Pia niliwahi kuuliza maswali haya humu Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? na swali hili Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? na hili Elections 2015 - Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?
Tunahitaji mjadala wa kitaifa, nchi yetu nimebarikiwa sana, tuna almost kila kitu!, tunakwama wapi?.
p
 
Enzi hizi Paskali ulikuwa mtu, ila tangu ulipojiona mzee ukaamua kuzeeka kwa amani umeamua kurudi kwenye kundi lile la wajinga wengi ulilolizungumzia hapa.
Mkuu denooJ, human beings are not static, they are dynamics and hence they change with time, place, environment and circumstances, you can't be the same all the time!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…