Watanzania nani katuloga ?

Mzee Muganyizi, ukisoma toka mwanzo utaopna hotuba ya Mkapa ndiyo ilisema kuwa mwaka 2010 ni 50% wanawake 50% wanaume. Kama alikuwa nataka usawa huo mbona kwenye madini alikuwa kichwa ngumu? 97% wazungu/mawaziri na 3% percent ya nchi lakini kati ya hiyo 1.9% ni za Stelwart Mwingereza yaani 3%-1.9%=1.1% ndizo fedha halizi za watanzania. Upo hapo mzee Muganyizi??

hapa ndipo ninakubaliana na Mkwawa kuwa mzee kipra alikuwa anafuata ya mama. yeye Rais wa Wanaume mama rais wa wanawake!



CHA AJABU JK AMESEMA ATAENDELEZA YOTE YA MKAPA. SASA HUKO KUPITIA MIKATABA NI DANGANYA TOTO MAANA HIYO HAIKUWA SERA YAO BALI YA cuf NA CHADEMA. KWA HIYO CCM ITWASHINDA MAANA HAWANA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WAKE.


kwa kuwa anaendeleza yote ya Mkapa sasa lawama zote ni kwake maana watanzania mwaka jana walimchagua yeye na siyo mkapa. KAMA ALIKUWA NAKUJA KUENDELEZA YOTE YA MKAPA NA WALA SIYO MAZURI BALI YOTE. JE MI KWANINI CCM HAWKUACHA MKPA AENDELEEL KUGOMBEA URAIS?

NINAOMBA JIBU.
HADI MLE MAJANI NDEGE ITANUNULIWA TU!!!!
 
Mkuyuga wale jamaa ni wamarekani si waingereza. Ila neno moja ambalo nimekubaliana na wewe ni kwamba hatukua na haja ya kuchagua Rais ama CCM hawakuwa na haja ya ksuema mabadiliko kwa kuwa JK sasa baada ya kukwaa ufalme anasema anafanya yaleeeeeeeeeeee ya Mkapa.Sasa sitaulizia tena madini wala mikataba maana si sera ya CCM hii wala Mkapa hakuwa na mpango wa kutangaza mambo hadharani na kwa kuwa JK ni chapa Mkapa basi mimi nimenawa naenda kucheza bao tu .
 
Hapo kaazi kweli kweli! yaani ndege nyingine inanunuliwa and at the same bodi ya mikopo inasema haina hela za kukopesha wanafunzi wote wanaopata nafasi katika vyuo vyetu. This is ridiculous!
 
Wanabodi ,

Ndio maana kichwa cha habari cha hii mada niliuliza ni nani aliyetuloga watanzania ? Yaani JET ya pili serikali inataka kununuliwa wananchi wamekaa kimya tuu , vyama vya upinzani mko wapi kwa nini msitumie hii ishu ya kununua ndege na kukatwa kwa mikopo kwa wanavyuo kwa manufaa yenu.

Jamani ni jambo la kusikitisha sana wakati waziri mkuu wa uingereza moja ya nchi tajiri duniani anapanda BA katika shughuli zake mbali mbali, sisi watanzania tunafikiria kununu JET ya pili ! Jet ya pili kusudi wafanyie nini ? kwa nini hawa viongozi ni maselsfish kiasi hiki .

Mzee ES siulisema JK hapendi kuitumia hiyo ndege kwa sababu ya running cost ! Mimi nimeishiwa nguvu na sasa naona nikijiusisha sana na siasa za nyumbani unaweza kupata matatizo ya akili .
 
Ale2roga ni mwenge wa uhuru kwani kimsingi kaziyake mini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…