Watanzania na akili za under 18

Watanzania na akili za under 18

moghasa

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
1,084
Reaction score
1,254
Wakuu Mufangana (nyaturu)!!!

Baada ya kuwa nimekuwa nikawa mtu mzima, nilishangaa kukuta kijijini kwetu hakuna kanisa hata moja zaidi ya RC ambalo lilianza enzi za mkoloni mwaka 1952.

Kijijini kila mtu ukimuuliza dini yake atakwambia mi MKATOLIKI hata kama hajabatizwa wala kukanyaga kanisani, kwake dunia nzima ni ukatoliki!! kwavile na vile tu hakuna dini nyingine yenye shughuli zake rasmi pale tofauti na wagen wachache wanaosali madarasani shule ya msingi.

Kuna maeneo mengine yanaathari kama kijiji kwangu, hususani ukanda wa pwani ambao tofauti na sisi wa bara (wengi wao) tuliupokea ukristo, na sina tatizo na hilo.

Mimi ni mmoja ya watu waaminio kuwa kila kila mwanadamu ataenda mbinguni kwa mbinu zake mwenyewe ( hapa sihitaji ubishi), hivyo uislamu na ukristo nauona kama COCA COLA na PEPSI COLA chupa tofauti kinywaji kile kile.

Kwa akili zangu na uelewa wangu naamini wengi wetu ha jf tumeenda shule angalau kdato cha nne , isipokuwa Shyland ambae amekuwa akiweka bayana elimu yake yenye ukomo wa msingi tu.

Baada ya harakati za uamsho kule zanzibar zilizokuwa zikiendeshwa na waislam wenye mlengo tofauti na wenzao na harakati za akina Sheikh PONDA huku bara zilisababisha kukanatwa kwao ambako wengi wa wafuasi wao huona kama dhurma na hujuma kwa dini na viongozi wao.

Hali hiyo ilisababisha kutekwa kwa vituo vya polisi na wafuasi hao kupora siraha za moto bila vikwamizi huku serikali yetu tulivu na sikivu ikiwa imetulia inasikiliza.

Sipendi kupingana na matamshi ya vyombo vya habari, la hasha! naomba niweke wazi kuwa kama msomi pia sijafundishwa kuaminishwa kuwa nyeupe niite nyekundu!!

kinachotokea Morogoro ni uvamizi wa waisilam wa hapa hapa Danganyika wakishirikiana wanaohisi kuporwa haki zao, bila kujua kuwa walichoporwa ni uwezo wao wa kufikiri.

WATANZANIA ufikie wakati tutambue kuwa anae tuchoma hayuko mbali!! na hajui maana ya Amani.

Basi kuanzia leo tufikiri kutuuzima!!
 
Last edited by a moderator:
Subiri tukifuturu tutakuja kukujibu.
 
Maelezo mengi kwelikweli!,kwanini uzunguke mbuyu nenda moja kwa moja kwenye hoja,mara hoo!,Kijijini kwetu Watu wako hivi mara vile aah!,Kiukweli hoja yako ni nzuri tatizo serikali yetu sikivu bado inasikilizia kwanza.
 
Maelezo mengi kwelikweli!,kwanini uzunguke mbuyu nenda moja kwa moja kwenye hoja,mara hoo!,Kijijini kwetu Watu wako hivi mara vile aah!,Kiukweli hoja yako ni nzuri tatizo serikali yetu sikivu bado inasikilizia kwanza.

CHAULA RICH huwa sipendi marumbano ya akina FaizaFoxy na Ishmael ndo maana nimeliweka wazi hilo kwanza!
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy na kahtan naona siku hizi wamepotea, swaumu inawahusu ila watakuja tuu!
Mleta mada una hoja nzuri.
 
Last edited by a moderator:
Udini na ukabila ni ugonjwa mbaya sana wa akili kuliko magonjwa yote. Ukishaona jamii inaendekeza udini au ukabila ujue ina safari ndefu ya kufika maendeleo. Muda wa kuzalisha mali wataishia kupigana au kile kizuri kitakachoanzishwa na upande mmoja kitaharibiwa na upande wa pili kisa udini au ukabila.
 
Wakuu Mufangana (nyaturu)!!!

Baada ya kuwa nimekuwa nikawa mtu mzima, nilishangaa kukuta kijijini kwetu hakuna kanisa hata moja zaidi ya RC ambalo lilianza enzi za mkoloni mwaka 1952.

Kijijini kila mtu ukimuuliza dini yake atakwambia mi MKATOLIKI hata kama hajabatizwa wala kukanyaga kanisani, kwake dunia nzima ni ukatoliki!! kwavile na vile tu hakuna dini nyingine yenye shughuli zake rasmi pale tofauti na wagen wachache wanaosali madarasani shule ya msingi.

Kuna maeneo mengine yanaathari kama kijiji kwangu, hususani ukanda wa pwani ambao tofauti na sisi wa bara (wengi wao) tuliupokea ukristo, na sina tatizo na hilo.

Mimi ni mmoja ya watu waaminio kuwa kila kila mwanadamu ataenda mbinguni kwa mbinu zake mwenyewe ( hapa sihitaji ubishi), hivyo uislamu na ukristo nauona kama COCA COLA na PEPSI COLA chupa tofauti kinywaji kile kile.

Kwa akili zangu na uelewa wangu naamini wengi wetu ha jf tumeenda shule angalau kdato cha nne , isipokuwa Shyland ambae amekuwa akiweka bayana elimu yake yenye ukomo wa msingi tu.

Baada ya harakati za uamsho kule zanzibar zilizokuwa zikiendeshwa na waislam wenye mlengo tofauti na wenzao na harakati za akina Sheikh PONDA huku bara zilisababisha kukanatwa kwao ambako wengi wa wafuasi wao huona kama dhurma na hujuma kwa dini na viongozi wao.

Hali hiyo ilisababisha kutekwa kwa vituo vya polisi na wafuasi hao kupora siraha za moto bila vikwamizi huku serikali yetu tulivu na sikivu ikiwa imetulia inasikiliza.

Sipendi kupingana na matamshi ya vyombo vya habari, la hasha! naomba niweke wazi kuwa kama msomi pia sijafundishwa kuaminishwa kuwa nyeupe niite nyekundu!!

kinachotokea Morogoro ni uvamizi wa waisilam wa hapa hapa Danganyika wakishirikiana wanaohisi kuporwa haki zao, bila kujua kuwa walichoporwa ni uwezo wao wa kufikiri.

WATANZANIA ufikie wakati tutambue kuwa anae tuchoma hayuko mbali!! na hajui maana ya Amani.

Basi kuanzia leo tufikiri kutuuzima!!

= dhulma
= silaha
 
Afadhali faizafozy hajapinga hoja!!! amerekebisha udhaifu wa tahajia ambao kwangu ni ulemavu wa tahajia r na l.
 
Last edited by a moderator:
Gwafanga! Unataka kusemaje basi, kama ni kuhusu dini ngoja niendeLee na safari zangu.
 
Back
Top Bottom