Watanzania mnayo habari hii!

Watanzania mnayo habari hii!

TAMKO

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
1,090
Reaction score
763
Mnayo habari kwamba tunaelekea uchaguzi mkuu Octoba 25 mwezi keshokutwa?!!!! Au hamnayo taarifa hii..! Kama huna basi uwe nayo na kama unayo basi maanisha unayo.

Kuna matukio mfululizo yameanza kwenda ndivyo sivyo, kuanzia TUME YENYEWE YA UCHAGUZI mfano tukio la kukosekana kwa taarifa za mpigakura kituoni, tume kuchomeka wataalam Wa kigeni kwenye ofisi zake au TCRA na vyombo vyake vya habari kwa Ubaguzi na ukandamizaji Wa habari na udhibiti Wa kimaksudi Wa vyombo hivi plus wanaojiita wasomi. Matukio haya yanayo zidi na yatazidi kushamiri TUYAKOMESHE. NASEMA tuacheni uzembe TUYAKOMESHE. Ni mchakato wa maandalizi ya kuipasua nchi yetu wenyewe.. HATUWEZI kukubali watu wawili watatu watuchafulie nchi tumekodoa mimacho tu.

Mambo ya kulalamika tu bila kuchukua hatua ni Ujinga mkubwa zaidi. It is the time for ACTION. Hatuwezi kushinda kwenye mitandao tukilalamika na kulalama huku mijitu ikiendelea tu na mazoezi machafu ya kuharibu nchi.

Kama wote washikadau Wa Amani, tume za haki za binaadam, wanasheria wabobezi, viongozi wenye dhamana, vutuo vya haki za binaadam na mashirika mengine watakaa kimya.. Fine Mimi sita kaa kimya. I will fight for my beutiful Tanzania land alone.

Udau Wa Amani sio utashi Wa jukwaa la siasa peke yake, Kuwaachia wanasiasa wafanye watakavyo sio sawa, lazima waonywe .. Amani ikitoweka wanasiasa wana hela zao watapandazao KLM na kutokomea ughaibuni, walalahoi tutabaki tunachapana mangumi wenyewe. Kila mdau Wa nchi lazima afanye jambo kutetea ardhi yetu.

Let go to the political game, Naamini mwarobaini pekee Wa kunusuru amani Yetu ni UWAZI. Uwazi kwenye kupiga kura, kuhesabu, kubandika matokea mapema na itasaidia kuondoa sintofaham. Ila kufichaficha, matumizi ya nguvu za kidola na kipigo au kuweka hira yoyote kwenye zoezi zima ni dhambi mbaya sana.
 
Tafadhali usivunje Amani kwa ajili ya wapuuzi wachache, Kamwe Mtanzania usiumie kwa ajili ya mtu mmoja South Sudan wanapata shida kwa ajili ya watu wawili walafi. Wanaendelea kupandikiza Chuki ili wakishindwa ionekane wameibiwa nawachukia sana walafi wa Chadema, Tarehe mosi september ndo mwisho wako, sheria imetungwa kwa ajili ya watu kama wewe.
 
Tafadhali usivunje Amani kwa ajili ya wapuuzi wachache, Kamwe Mtanzania usiumie kwa ajili ya mtu mmoja South Sudan wanapata shida kwa ajili ya watu wawili walafi. Wanaendelea kupandikiza Chuki ili wakishindwa ionekane wameibiwa nawachukia sana walafi wa Chadema, Tarehe mosi september ndo mwisho wako, sheria imetungwa kwa ajili ya watu kama wewe.

Hiyo Sheria unayotishia watu 01 Sept ni ya kishetani na washwtani tu ndo wenye kuitumia kama nyenzo za kuishi kwa hila na ujanja ujanja!
 
Tafadhali usivunje Amani kwa ajili ya wapuuzi wachache, Kamwe Mtanzania usiumie kwa ajili ya mtu mmoja South Sudan wanapata shida kwa ajili ya watu wawili walafi. Wanaendelea kupandikiza Chuki ili wakishindwa ionekane wameibiwa nawachukia sana walafi wa Chadema, Tarehe mosi september ndo mwisho wako, sheria imetungwa kwa ajili ya watu kama wewe.
una vitisho vya kishamba sana ! ni hivi , kila nchi iliyokombolewa kulikuwa na mamluki na wachumia tumbo kama wewe , sijawahi kuona nchi inatunga sheria ili kudhibiti kundi moja tu , ni dhahiri sheria yenu mmeitunga kwa ajili ya jf peke yake , lakini nakuapia kwamba tutawakomesha mahakamani , wanafiki wakubwa nyie !
 
Hiyo Sheria unayotishia watu 01 Sept ni ya kishetani na washwtani tu ndo wenye kuitumia kama nyenzo za kuishi kwa hila na ujanja ujanja!
na baada ya serikali mpya ya UKAWA kuingia madarakani ( maana tumejiridhisha kwamba tutashinda kwa 70% )tumekubaliana kuifutilia mbali sheria hii ya udhalilishaji .
 
una vitisho vya kishamba sana ! ni hivi , kila nchi iliyokombolewa kulikuwa na mamluki na wachumia tumbo kama wewe , sijawahi kuona nchi inatunga sheria ili kudhibiti kundi moja tu , ni dhahiri sheria yenu mmeitunga kwa ajili ya jf peke yake , lakini nakuapia kwamba tutawakomesha mahakamani , wanafiki wakubwa nyie !
Ingia Barabarani ndo ujue kuna utawala wa sheria, nakuonya tena hatutaruhusu maumivu ya aina yoyote kwa Raia wasio na Hatia, Raia ambao mara nyingi ni victim wa siasa chafu, There is no Noble cause in whatever Lowassa na Chadema are Fighting for, Better kusubiri kuliko kupoteza kila kitu.
 
na baada ya serikali mpya ya UKAWA kuingia madarakani ( maana tumejiridhisha kwamba tutashinda kwa 70% )tumekubaliana kuifutilia mbali sheria hii ya udhalilishaji .

Sheria hii ni ya kuwafanya watu vipofu na wakoma kwa makusudi ndio anatishia watu eti sheria 01sept! Mwisho wakuishi kijanja janja!
 
Ingia Barabarani ndo ujue kuna utawala wa sheria, nakuonya tena hatutaruhusu maumivu ya aina yoyote kwa Raia wasio na Hatia, Raia ambao mara nyingi ni victim wa siasa chafu, There is no Noble cause in whatever Lowassa na Chadema are Fighting for, Better kusubiri kuliko kupoteza kila kitu.

Unazungumzia raia wapi au unao wa kwako kuzimu! Kama ni raia umewaona Huku Dar, Ars,Mbeya, Mza na Zanzibar Kwa maelfu! Wa kwako ndio polisi na Jeshi labda! Mzoea kuishi kulingana na Hisani ya Polisi na mwisho wa haya ni Mwaka huu! fikiri kuishi kupya!
 
Nimekuelewa sana, ila CCM hawataki kuambiwa ukweli ndio shida ilipoa. wanataka kuhodhi kila kitu
 
Ingia Barabarani ndo ujue kuna utawala wa sheria, nakuonya tena hatutaruhusu maumivu ya aina yoyote kwa Raia wasio na Hatia, Raia ambao mara nyingi ni victim wa siasa chafu, There is no Noble cause in whatever Lowassa na Chadema are Fighting for, Better kusubiri kuliko kupoteza kila kitu.

njama zozote hazitakubalika na mtashindwa na kudhalilika vibaya sana ! angalia ivory coast .
 
nilikuwa nafikilia itengenezwe tovuti ambayo mawakala wa vyama vyote watapata fulsa ya kupost matokeo ya kila kituo pale wanapomaliza kuhesabu kituo. hiyo tovuti iweze kuzijumlisha kura za kila kituo za udiwani,ubunge na uraisi na kutoa matokeo ambayo si rasmi kadri kula zinapo hesabiwa. Ninaweza kutengeza hiyo tovuti na kuihost bure ila naogopa sheria ya mtandao isije ikanila.
 
Unazungumzia raia wapi au unao wa kwako kuzimu! Kama ni raia umewaona Huku Dar, Ars,Mbeya, Mza na Zanzibar Kwa maelfu! Wa kwako ndio polisi na Jeshi labda! Mzoea kuishi kulingana na Hisani ya Polisi na mwisho wa haya ni Mwaka huu! fikiri kuishi kupya!
Poor Strategy, mnadhani mtashawishi watu mmeibiwa kura kwa sababu mnajaza watu mkutanoni? Yanga pia Inajaza watu, Diamond anaweza kua rais kama ndo hivyo ndo watu wanalipa kumuona acha lowassa anayelipa kuonwa. Pathetic!
 
tanesco-ccm kukata kata umeme hovyo kila panapokuwa na vuguvugu la kumtambulisha lowassa sehemu mbalimbali nchini.
 
nilikuwa nafikilia itengenezwe tovuti ambayo mawakala wa vyama vyote watapata fulsa ya kupost matokeo ya kila kituo pale wanapomaliza kuhesabu kituo. hiyo tovuti iweze kuzijumlisha kura za kila kituo za udiwani,ubunge na uraisi na kutoa matokeo ambayo si rasmi kadri kula zinapo hesabiwa. Ninaweza kutengeza hiyo tovuti na kuihost bure ila naogopa sheria ya mtandao isije ikanila.
Vipi wakituma matokeo ambayo sio sahihi? Ndo uvunjifu wa Amani wenyewe. NEC ndiyo yenye mamlaka ya kutangaza Matokeo. Usiwe na shaka kua raia mwema fata Sheria Sheria ya mitandao ipo kwa ajili ya wahalifu. Yatakuepo mashirika ya kimataifa ya Ndani na Nje ili kuhakikisja zoezi linafanyika kwa haki na uhuru, hatakudhuru muhuni hata mmoja nakuahidi.
 
Poor Strategy, mnadhani mtashawishi watu mmeibiwa kura kwa sababu mnajaza watu mkutanoni? Yanga pia Inajaza watu, Diamond anaweza kua rais kama ndo hivyo ndo watu wanalipa kumuona acha lowassa anayelipa kuonwa. Pathetic!

Wingi wa watu si ndio mtu anamvuto au uchache ndio mvuto? Hii kawaida ya kutumia Tume ya rais ya uchaguzi si kigezo na mtadondoshwa tu! Siku sio nyingi mtaona makuu! Mungu hapendi watu waishi kijanja kijanja na kiwiziwizi!
 
Wingi wa watu si ndio mtu anamvuto au uchache ndio mvuto? Hii kawaida ya kutumia Tume ya rais ya uchaguzi si kigezo na mtadondoshwa tu! Siku sio nyingi mtaona makuu! Mungu hapendi watu waishi kijanja kijanja na kiwiziwizi!
Nani anaishi Kijanja na kiwiziwizi? Chadema wanaishije? Chama kimejengwa kwa Lawama, Kashfa na Malalamishi na ndio sasa mnameza matapishi yenu. wakati CCM inajisafisha nishi mnadhirisha uchafu wenu kwa kukusanya Taka za CCM
 
Nani anaishi Kijanja na kiwiziwizi? Chadema wanaishije? Chama kimejengwa kwa Lawama, Kashfa na Malalamishi na ndio sasa mnameza matapishi yenu. wakati CCM inajisafisha nishi mnadhirisha uchafu wenu kwa kukusanya Taka za CCM

Kizungumkuti cha mchakato wa uteuzi wa majina matano kinaonyesha namna bora na ya wazi CCM yenye miaka mingi tangia 1977 kama chama kisichokuwa na utaratibu na ndio hivyo wamekuwa wakiongoza nchi hii kiaina aina! Kulinganisha CDM na CCM naona bado ni upofu wa kutoona kabisa!
 
Kizungumkuti cha mchakato wa uteuzi wa majina matano kinaonyesha namna bora na ya wazi CCM yenye miaka mingi tangia 1977 kama chama kisichokuwa na utaratibu na ndio hivyo wamekuwa wakiongoza nchi hii kiaina aina! Kulinganisha CDM na CCM naona bado ni upofu wa kutoona kabisa!
CCM ilikua na wagombea takribani 38, Upinzani mgombea mmoja ambaye hakushindanishwa, hakijui Chama (Misingi na Imani), hana sifa,unataka kuniambia Bila lowassa Upinzani usingekua na Mgombea, and u fuckn dare talk about utaratibu? I wish uwe jirani yangu wakati nasema haya nikusindikize na kelebu.
 
CCM ilikua na wagombea takribani 38, Upinzani mgombea mmoja ambaye hakushindanishwa, hakijui Chama (Misingi na Imani), hana sifa,unataka kuniambia Bila lowassa Upinzani usingekua na Mgombea, and u fuckn dare talk about utaratibu? I wish uwe jirani yangu wakati nasema haya nikusindikize na kelebu.

Mwenyekiti aliingia na majina yake wengine wrote out( wamekatwa )
kwahiyo huu ndiyo utaratibu wa ccm? pasipo kuwahoji wagombea......;
 
Back
Top Bottom