GE2025 Watanzania mkitegemea dini hamtayaona mageuzi kamwe!!

GE2025 Watanzania mkitegemea dini hamtayaona mageuzi kamwe!!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Dini ndiyo silaha kubwa ya mafisadi na ndiyo chanzo cha uoga wa kijinga wwakitaka fedha mnaambiwa mkafanye kazi ili mpeleke sadaka na kodi ila mkitaka mageuzi mnaambiwa liombeeni taifa na mtii mamlaka.

Kwa ujinga wa dini hizihizi hamtoboi kamwe huko Nepal wameweka dini na maombi pembeni wakaingia mitaani wameweza kuuondoa utawala wa kifisani ninyi mnakomaa na NOVENA na maombi haya kazaneni watu wakiendelea kula nchi.
 
Niko Sumbawanga, nimepqta radi ya kuua viongozi 2 tu kwa mpigo. Bado sijaridhika na ufanisi wa radi hii, naendelea kuisaka radi ya kuua viongozi 100 kwa mpigo.
 
Back
Top Bottom