Akili ya mtu mweusi ni tatzo,sisi tuliubwa tuwe watumishi na sio watawala,hatuna akili za kuwa watawala.
Kuna kiongozi alisema hayo maisha wanayoishi na magari wanayonunua ni lazima yafanyike maana wanajiweka katika standard fulani ambayo watawala wanatakiwa waishi hivyo hata kama mwananchi akifa njaa,