Tanzania iko kwenye hatari ya kubambikwa katiba ambayo watu wengi hawaielewi, hawaiamini na ni katiba ya kichama. Kwenye nchi za wenzetu kama Kenya na Uganda hatujaona watu wengi wakipinga katiba kwasababu ni katiba ya watu. Katiba haitakiwi kuwa na ubishano kama kweli ina nia njema lakini katiba ya Tanzania inakuwa kama inapelekwa na kulazimishwa hadi kiwango cha viongozi kuja na ratiba za kushinikiza ipitishwe. Je kama katiba ni nzuri haraka za nini kwenye sheria ya nchi tena ukizingatia imepitishwa kwa ujanja unjanja tu na chama kimoja tu![/QUOTE
Katiba ya wananchi imeisha patikana na iliyo sheheni maoni ya wananchi kwa asilimia 100. Nendeni kesho mkadanganyane jangwani, serikali yenyewe ina songa mbele kwa kuandaa kura ya maoni april 2015. :flame:
Mwaka huu mtayaongea yote lakini ukweli ni kuwa hakuna katiba yenye kumlidhisha kila mtu iliwahi kupatikana hapa duniani. Mengi ya wananchi yamezingatiwa hayo mengine mnayoyapigania sio ya wananchi bali ni ya viongozi wenu wanaotafuta fursa za kutawala nchi.
Tunajua povu lote mnalotoa hakuna kingine kinachowahangaisha zaidi ya kutugawa na sera zenu za kibaguzi za kuongeza idadi ya serikali 3. Hilo tu ndo linawatoa povu mpaka kesho wala hakuna cha maslahi ya wananchi wala nini....
Mwaka huu mtayaongea yote lakini ukweli ni kuwa hakuna katiba yenye kumlidhisha kila mtu iliwahi kupatikana hapa duniani. Mengi ya wananchi yamezingatiwa hayo mengine mnayoyapigania sio ya wananchi bali ni ya viongozi wenu wanaotafuta fursa za kutawala nchi.
Tunajua povu lote mnalotoa hakuna kingine kinachowahangaisha zaidi ya kutugawa na sera zenu za kibaguzi za kuongeza idadi ya serikali 3. Hilo tu ndo linawatoa povu mpaka kesho wala hakuna cha maslahi ya wananchi wala nini....
Mwaka huu mtayaongea yote lakini ukweli ni kuwa hakuna katiba yenye kumlidhisha kila mtu iliwahi kupatikana hapa duniani. Mengi ya wananchi yamezingatiwa hayo mengine mnayoyapigania sio ya wananchi bali ni ya viongozi wenu wanaotafuta fursa za kutawala nchi.
Tunajua povu lote mnalotoa hakuna kingine kinachowahangaisha zaidi ya kutugawa na sera zenu za kibaguzi za kuongeza idadi ya serikali 3. Hilo tu ndo linawatoa povu mpaka kesho wala hakuna cha maslahi ya wananchi wala nini....
Tanzania iko kwenye hatari ya kubambikwa katiba ambayo watu wengi hawaielewi, hawaiamini na ni katiba ya kichama. Kwenye nchi za wenzetu kama Kenya na Uganda hatujaona watu wengi wakipinga katiba kwasababu ni katiba ya watu. Katiba haitakiwi kuwa na ubishano kama kweli ina nia njema lakini katiba ya Tanzania inakuwa kama inapelekwa na kulazimishwa hadi kiwango cha viongozi kuja na ratiba za kushinikiza ipitishwe. Je kama katiba ni nzuri haraka za nini kwenye sheria ya nchi tena ukizingatia imepitishwa kwa ujanja unjanja tu na chama kimoja tu![/QUOTE
Katiba ya wananchi imeisha patikana na iliyo sheheni maoni ya wananchi kwa asilimia 100. Nendeni kesho mkadanganyane jangwani, serikali yenyewe ina songa mbele kwa kuandaa kura ya maoni april 2015. :flame:
Hivi kuna waliokuwa kwenye kamati ya Warioba wanao unga mkono kwamba hii katiba ni ya maoni ya wananchi eti kwa asilimia 100. Ngoja nikuamshe katiba haina cha chama sheria zitakubana tu hata kama CCM. Kama ni tajiri huna shida ni masikini ndiyo watakaopata shida sio CCM au Chadema. Ndesamburo na Mboe watakuwa matajiri tu na sheria yeyote haita badilisha maisha yao vilevile Lowassa atakuwa tajiri tu sheria hazitabadilisha maisha yao. Ni wale watu wa kawaida wewe tetea tu lakini umejiuliza unafaidika vipi na hii katiba? Vilevile huko Zanzibar viongozi wa sasa wanataka mambo yaendelee kama yalivyo kwasababu kwa sasa wanafaidika viongozi tu lakini watu wa kawaida hamna kitu. Katiba nimeisoma ni ya kipuuzi haina la maana ni bora iiyopo sasa.