Watanzania Internation law imetupendelea lkn bado tunalalamika, kwa nini?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Ni kuhusu Ml.Kili, kwa hali ya kawaida kwa kuwa Ml.Kili uko mpakani kabisa mwa Kenya na TZ yetu, ilipaswa tuugawane yaani sehemu iwe Kenya na sehemu iwe kwetu na hii ni international law na ndicho tunachokipigania kwenye Ziwa Malawi/Nyasa, sasa hapa tumependelewa na 100% ya Ml.Kili umewekwa kwetu Kijiografia lkn bado Mkenya anayeishi chini ya Ml.Kili lkn ametokea kuwa nje ya mpaka akipiga picha ya Ml.Kili tunatoka povu tunataka tumkataze, hivi sisi tuna akili kweli?
Hivi Mtz anayeishi Songea, MT au sijui Manyoni ana haki ya Ml.Kili kumzidi Mkenya Mmasai aliyezaliwa chini ya Ml. huko Loitoki toki?

Hakuna nchi Dunia hii iliyopata bahati kama yetu kwenye hili swala, Nchi zote zote Duniani kama mali ya asili ikiwa mpakani basi siku zote kwa kutumia Sheria ya Kimataifa hugawanywa baina ya majirani kama vile ilivyofanywa Ziwa Nyanza, Tanganyika, Mto Ruvuma, Kagera hata Ml. Himaya unamilikiwa na nchi zilizozungukwa na Mlima huo!

Lakini cha ajabu sisi Sheria ya Kimataifa ilitusahau ikatupendelea lkn bado hata kuwapa haki Wakenya ambao kwa miaka yote kabla ya mpaka wa Wazungu wamekuwa wakiishi chini ya Ml.Kili hata kupiga picha tu tunalalamika, ingawaje hakuna binadamu yoyote anayeweza kupanda Ml.Kili bila kuingia JMTZ, sasa kwa nini tunakuwa kama watoto namna hii?

Kwa nini mnataka kuamsha mambo ambayo yamelala? Hivi mnajua kwamba wakazi wa Kenya waishio chini ya Ml.Kili wanaweza kufungua kesi kudai haki yao kuwa na Ml.Kili na kesi ikasikilizwa? Acheni mambo ya kitoto, kama mtu anataka kupiga picha Mlima mwacheni, kama anapenda kumuita mtoto wake Ml.Kili mwacheni lkn akitaka kupanda ni lazima aje kwetu na kulipia kwetu, sasa mkianza kuwakataza hata watu kupiga picha wataanza kuhoji, na huu uwezekano upo Mpaka unaweza hata kuchorwa tena kwa maana wana hoja, kama vile sisi tulivyo na hoja kwenye Ziwa Malawi /Nyasa!
 
wewe si mtanzania, nina mashaka sana na utaifa wako


Siyo swala la Utanzania ni swala la logic ndugu, tunachokipigania Ziwa Malawi/Nyasa ndicho hicho hicho tulichopendelewa nacho kwenye Ml.Kili, hivyo acheni haya mambo, Ml.Kili uko 100% kwetu hiyo ni bahati, sasa kelele za nini kama mtu mwingine akipiga picha au kuutangaza ili hali hakuna anayeweza kupanda Ml.Kili bila ya kuingia JMTZ?
 
Ni kuhusu Ml.Kili, kwa hali ya kawaida kwa kuwa Ml.Kili uko mpakani kabisa mwa Kenya na TZ yetu, ilipaswa tuugawane yaani sehemu iwe Kenya na sehemu iwe kwetu na hii ni international law na ndicho tunachokipigania kwenye Ziwa Malawi/Nyasa, sasa hapa tumependelewa na 100% ya Ml.Kili umewekwa kwetu Kijiografia lkn bado Mkenya anayeishi chini ya Ml.Kili lkn ametokea kuwa nje ya mpaka akipiga picha ya Ml.Kili tunatoka povu tunataka tumkataze, hivi sisi tuna akili kweli?
Hivi Mtz anayeishi Songea, MT au sijui Manyoni ana haki ya Ml.Kili kumzidi Mkenya Mmasai aliyezaliwa chini ya Ml. huko Loitoki toki?

Hakuna nchi Dunia hii iliyopata bahati kama yetu kwenye hili swala, Nchi zote zote Duniani kama mali ya asili ikiwa mpakani basi siku zote kwa kutumia Sheria ya Kimataifa hugawanywa baina ya majirani kama vile ilivyofanywa Ziwa Nyanza, Tanganyika, Mto Ruvuma, Kagera hata Ml. Himaya unamilikiwa na nchi zilizozungukwa na Mlima huo!

Lakini cha ajabu sisi Sheria ya Kimataifa ilitusahau ikatupendelea lkn bado hata kuwapa haki Wakenya ambao kwa miaka yote kabla ya mpaka wa Wazungu wamekuwa wakiishi chini ya Ml.Kili hata kupiga picha tu tunalalamika, ingawaje hakuna binadamu yoyote anayeweza kupanda Ml.Kili bila kuingia JMTZ, sasa kwa nini tunakuwa kama watoto namna hii?

Kwa nini mnataka kuamsha mambo ambayo yamelala? Hivi mnajua kwamba wakazi wa Kenya waishio chini ya Ml.Kili wanaweza kufungua kesi kudai haki yao kuwa na Ml.Kili na kesi ikasikilizwa? Acheni mambo ya kitoto, kama mtu anataka kupiga picha Mlima mwacheni, kama anapenda kumuita mtoto wake Ml.Kili mwacheni lkn akitaka kupanda ni lazima aje kwetu na kulipia kwetu, sasa mkianza kuwakataza hata watu kupiga picha wataanza kuhoji, na huu uwezekano upo Mpaka unaweza hata kuchorwa tena kwa maana wana hoja, kama vile sisi tulivyo na hoja kwenye Ziwa Malawi /Nyasa!
Naona hapa sio buku saba hapa Itakuwa umepewa 50,000/=
 
Hao ndiyo uvccm ukoo wa panya, si ajabu kapewa rushwa aje kuitetea Kenya, kweli ccm ni janga la kitaifa, hana hata aibu, ngoja waje uvccm wenzako tuone kama watakuunga mkono
Naona hapa sio buku saba hapa Itakuwa umepewa 50,000/=


Vyovyote vile uonavyo lkn huu tunaofanya ni utoto wa hali ya juu, ni nani ametukaza sisi kupiga picha nyuma ya Ml.Kili? Ni nani ametukataza sisi kuutangaza Ml.Kili na kuleta Watalii? Hivi unafahamu ni Kampuni ngapi Duniani zinatumia neno Himalaya/Everest na haziko huko Asia?
 
Siyo swala la Utanzania ni swala la logic ndugu, tunachokipigania Ziwa Malawi/Nyasa ndicho hicho hicho tulichopendelewa nacho kwenye Ml.Kili, hivyo acheni haya mambo, Ml.Kili uko 100% kwetu hiyo ni bahati, sasa kelele za nini kama mtu mwingine akipiga picha au kuutangaza ili hali hakuna anayeweza kupanda Ml.Kili bila ya kuingia JMTZ?
Ndugu yangu tusibishane kwa hili, amini tu umeteleza. nakuuliza iwapo una kesi ya mauaji na ukaja mahakamani mahakama ikakuacha huru huku ukiwa kweli uliua utaanza kumshambulia hakimu kuwa amekupendelea unataka hukumu iliyo haki?

Wewe umezoea kubisha ukweli, kwa hyo hata hili hujatafakari vyema, huna utaifa.

Huwa unawaona vijana wa BAVICHA humu wanaipigania nchi yako hata wako tayari kulipa m.7 au kufungwa. wewe umezoea usaliti kwa taifa lako.
 
Ni kuhusu Ml.Kili, kwa hali ya kawaida kwa kuwa Ml.Kili uko mpakani kabisa mwa Kenya na TZ yetu, ilipaswa tuugawane yaani sehemu iwe Kenya na sehemu iwe kwetu na hii ni international law na ndicho tunachokipigania kwenye Ziwa Malawi/Nyasa, sasa hapa tumependelewa na 100% ya Ml.Kili umewekwa kwetu Kijiografia lkn bado Mkenya anayeishi chini ya Ml.Kili lkn ametokea kuwa nje ya mpaka akipiga picha ya Ml.Kili tunatoka povu tunataka tumkataze, hivi sisi tuna akili kweli?
Hivi Mtz anayeishi Songea, MT au sijui Manyoni ana haki ya Ml.Kili kumzidi Mkenya Mmasai aliyezaliwa chini ya Ml. huko Loitoki toki?

Hakuna nchi Dunia hii iliyopata bahati kama yetu kwenye hili swala, Nchi zote zote Duniani kama mali ya asili ikiwa mpakani basi siku zote kwa kutumia Sheria ya Kimataifa hugawanywa baina ya majirani kama vile ilivyofanywa Ziwa Nyanza, Tanganyika, Mto Ruvuma, Kagera hata Ml. Himaya unamilikiwa na nchi zilizozungukwa na Mlima huo!

Lakini cha ajabu sisi Sheria ya Kimataifa ilitusahau ikatupendelea lkn bado hata kuwapa haki Wakenya ambao kwa miaka yote kabla ya mpaka wa Wazungu wamekuwa wakiishi chini ya Ml.Kili hata kupiga picha tu tunalalamika, ingawaje hakuna binadamu yoyote anayeweza kupanda Ml.Kili bila kuingia JMTZ, sasa kwa nini tunakuwa kama watoto namna hii?

Kwa nini mnataka kuamsha mambo ambayo yamelala? Hivi mnajua kwamba wakazi wa Kenya waishio chini ya Ml.Kili wanaweza kufungua kesi kudai haki yao kuwa na Ml.Kili na kesi ikasikilizwa? Acheni mambo ya kitoto, kama mtu anataka kupiga picha Mlima mwacheni, kama anapenda kumuita mtoto wake Ml.Kili mwacheni lkn akitaka kupanda ni lazima aje kwetu na kulipia kwetu, sasa mkianza kuwakataza hata watu kupiga picha wataanza kuhoji, na huu uwezekano upo Mpaka unaweza hata kuchorwa tena kwa maana wana hoja, kama vile sisi tulivyo na hoja kwenye Ziwa Malawi /Nyasa!
haupo mpakani kabisa, kuna distance ya kutosha. unataka kutuambia mlima upo no-man's land? we vipi?
 
Ndugu yangu tusibishane kwa hili, amini tu umeteleza. nakuuliza iwapo una kesi ya mauaji na ukaja mahakamani mahakama ikakuacha huru huku ukiwa kweli uliua utaanza kumshambulia hakimu kuwa amekupendelea unataka hukumu iliyo haki?

Wewe umezoea kubisha ukweli, kwa hyo hata hili hujatafakari vyema, huna utaifa.

Huwa unawaona vijana wa BAVICHA humu wanaipigania nchi yako hata wako tayari kulipa m.7 au kufungwa. wewe umezoea usaliti kwa taifa lako.


Tatizo unabishana tu bila ya logic, ngoja nikuulize swali ni kwa nini tuna matatizo na nchi ya Malawi kuhusu Ziwa Nyasa/Malawi? Na unajua hoja yetu ni ipi kuhusu Ziwa Malawi/Nyasa? Na kwa nini hoja yetu ina nafasi kubwa ya kushinda kwenye International law?
 
Tatizo unabishana tu bila ya logic, ngoja nikuulize swali ni kwa nini tuna matatizo na nchi ya Malawi kuhusu Ziwa Nyasa/Malawi? Na unajua hoja yetu ni ipi kuhusu Ziwa Malawi/Nyasa? Na kwa nini hoja yetu ina nafasi kubwa ya kushinda kwenye International law?
MOTOCHINI, FaizaFoxy, Lizaboni njooni huku haraka kuna mwenzenu ameingiwa na wazimu
 
Kweli majitu hayana uzalendo nchi hii, "Sasa nimeamini kwa nini Ccm walihonga gesi kubadirishana na madawa ya kulevya"
 
wew mweuu sana mtoa post unazanii anafanyaa vilee kwa lengo gani .nilipokuwa ujerumani mwaka 2014 julai 06 nilikutana na prof.HERSON G HURT.huyuu nilikuwa na mishe mishe naee alikuwa na mwanae wa kikee alinitambulisha vizurii natokea tanzania na nimekujaa Germany kwa lengo hilii alivyomalizaa mwanae aliniulizaa tanzania ndoo ile nchii iliyopo karibu na mlima kilimanjaro ..nikamjibu ndio nchii iliyo na ml.kilimanjaro ....alikataaa katakata ..na alinipaa kitu kinginee cha ziadaa alisema chuoni kwao umoja wa wanafunzi wa kenya walionesha tamaduni za nchii yaoo na maliasiri zao waliuwekaa mlima kilimanjaro kama kivutiooo kikuu cha nchi yao akatoaa simu na akanioneshaa pichaa za sherehe hiyoo ..
NILIPATWAA NA HASIRA SANA IKANIBIIDII NILIFANYIEE KAZI NA NIKAAMBIWA NI UKWELII LIMETANGWAZAA NA LINATOKEAA HAPAA UJERUMANI HATA WATALII WANAOTAKAA KWENDAA ML.KILIMANJARO WANAKATA VISA YA NCHINI KENYA wakifikaa palee ndipo wanaanzaa kutafutaa utaratibu wa kuingia tanzania ...Hiii kiukwelii inaongezaa uchumii wa taifaa laoo ....kwa kuingizaa wataliii haoo ..
Niliporudii nilikutana na mtaalamu mmoja nikamsimulia hayoo naee alinisibitishia hiloo .
Hata mwaka jana msanii mlisho MPOTO alikwendaa kutoa shoo ya nyimbo zatamaduni za kiswahili huko GERMANY alichokikutaa hukoo hadii leoo kauchunaa MC alimtangazaa ya kuwa anatokeaa nchini kenyaa naee kwa ujinga wakee alisimama na akaimbaa vizurii ..na alipaliza MC alizidi kumpongezaa mwanamuziki huyoo kutoka nchini kenyaa ...lets means what happens .wenzako wanapigaa sana kwa kfanya hivyoo KUWA MAKINI WEW
 
haupo mpakani kabisa, kuna distance ya kutosha. unataka kutuambia mlima upo no-man's land? we vipi?


Uko mpakani na wakazi wa upande wa Kenya leo hii wanatumia maji yanayotiririka ktk kilele cha Ml.Kili na wamekuwa wakifanya hivyo kabla hata Mzungu hajaja na kuweka mpka, hivyo kuwakataza leo hii wasipige picha ni utoto na ujinga uliopitiliza, kupanda Mlima ni lazima waje kwetu na kulipia kwetu, sasa kwanini washindwe hata kuupiga picha?
 
Na kama mim nigekuwa mh.magu ningefungaa kabisa uhusiano wa ml.kilimajaro na nchii ya kenya maana wakiyaona mafanikio tu wanayahitaji kuwa nchini kwao mara DAIMOND wakwaoo ,SAIDAKALOLI WAKWAOO na mtoa post ni mkenya fara wew
 
Ni kuhusu Ml.Kili, kwa hali ya kawaida kwa kuwa Ml.Kili uko mpakani kabisa mwa Kenya na TZ yetu, ilipaswa tuugawane yaani sehemu iwe Kenya na sehemu iwe kwetu na hii ni international law na ndicho tunachokipigania kwenye Ziwa Malawi/Nyasa, sasa hapa tumependelewa na 100% ya Ml.Kili umewekwa kwetu Kijiografia lkn bado Mkenya anayeishi chini ya Ml.Kili lkn ametokea kuwa nje ya mpaka akipiga picha ya Ml.Kili tunatoka povu tunataka tumkataze, hivi sisi tuna akili kweli?
Hivi Mtz anayeishi Songea, MT au sijui Manyoni ana haki ya Ml.Kili kumzidi Mkenya Mmasai aliyezaliwa chini ya Ml. huko Loitoki toki?

Hakuna nchi Dunia hii iliyopata bahati kama yetu kwenye hili swala, Nchi zote zote Duniani kama mali ya asili ikiwa mpakani basi siku zote kwa kutumia Sheria ya Kimataifa hugawanywa baina ya majirani kama vile ilivyofanywa Ziwa Nyanza, Tanganyika, Mto Ruvuma, Kagera hata Ml. Himaya unamilikiwa na nchi zilizozungukwa na Mlima huo!

Lakini cha ajabu sisi Sheria ya Kimataifa ilitusahau ikatupendelea lkn bado hata kuwapa haki Wakenya ambao kwa miaka yote kabla ya mpaka wa Wazungu wamekuwa wakiishi chini ya Ml.Kili hata kupiga picha tu tunalalamika, ingawaje hakuna binadamu yoyote anayeweza kupanda Ml.Kili bila kuingia JMTZ, sasa kwa nini tunakuwa kama watoto namna hii?

Kwa nini mnataka kuamsha mambo ambayo yamelala? Hivi mnajua kwamba wakazi wa Kenya waishio chini ya Ml.Kili wanaweza kufungua kesi kudai haki yao kuwa na Ml.Kili na kesi ikasikilizwa? Acheni mambo ya kitoto, kama mtu anataka kupiga picha Mlima mwacheni, kama anapenda kumuita mtoto wake Ml.Kili mwacheni lkn akitaka kupanda ni lazima aje kwetu na kulipia kwetu, sasa mkianza kuwakataza hata watu kupiga picha wataanza kuhoji, na huu uwezekano upo Mpaka unaweza hata kuchorwa tena kwa maana wana hoja, kama vile sisi tulivyo na hoja kwenye Ziwa Malawi /Nyasa!
Sasa kama alizaliwa chini ya mlima na hapo alipozaliwa ni Kenya, na umempa haki ya kuupigia picha akiwa Kenya ni unyani gani umlazimishe aje kuupandia JMTZ ilhali anaona ata akiupandia huko Kenya atafika anapotageti?
 
Ni kuhusu Ml.Kili, kwa hali ya kawaida kwa kuwa Ml.Kili uko mpakani kabisa mwa Kenya na TZ yetu, ilipaswa tuugawane yaani sehemu iwe Kenya na sehemu iwe kwetu na hii ni international law na ndicho tunachokipigania kwenye Ziwa Malawi/Nyasa, sasa hapa tumependelewa na 100% ya Ml.Kili umewekwa kwetu Kijiografia lkn bado Mkenya anayeishi chini ya Ml.Kili lkn ametokea kuwa nje ya mpaka akipiga picha ya Ml.Kili tunatoka povu tunataka tumkataze, hivi sisi tuna akili kweli?
Hivi Mtz anayeishi Songea, MT au sijui Manyoni ana haki ya Ml.Kili kumzidi Mkenya Mmasai aliyezaliwa chini ya Ml. huko Loitoki toki?

Hakuna nchi Dunia hii iliyopata bahati kama yetu kwenye hili swala, Nchi zote zote Duniani kama mali ya asili ikiwa mpakani basi siku zote kwa kutumia Sheria ya Kimataifa hugawanywa baina ya majirani kama vile ilivyofanywa Ziwa Nyanza, Tanganyika, Mto Ruvuma, Kagera hata Ml. Himaya unamilikiwa na nchi zilizozungukwa na Mlima huo!

Lakini cha ajabu sisi Sheria ya Kimataifa ilitusahau ikatupendelea lkn bado hata kuwapa haki Wakenya ambao kwa miaka yote kabla ya mpaka wa Wazungu wamekuwa wakiishi chini ya Ml.Kili hata kupiga picha tu tunalalamika, ingawaje hakuna binadamu yoyote anayeweza kupanda Ml.Kili bila kuingia JMTZ, sasa kwa nini tunakuwa kama watoto namna hii?

Kwa nini mnataka kuamsha mambo ambayo yamelala? Hivi mnajua kwamba wakazi wa Kenya waishio chini ya Ml.Kili wanaweza kufungua kesi kudai haki yao kuwa na Ml.Kili na kesi ikasikilizwa? Acheni mambo ya kitoto, kama mtu anataka kupiga picha Mlima mwacheni, kama anapenda kumuita mtoto wake Ml.Kili mwacheni lkn akitaka kupanda ni lazima aje kwetu na kulipia kwetu, sasa mkianza kuwakataza hata watu kupiga picha wataanza kuhoji, na huu uwezekano upo Mpaka unaweza hata kuchorwa tena kwa maana wana hoja, kama vile sisi tulivyo na hoja kwenye Ziwa Malawi /Nyasa!
Mlima Kilimanjaro haupo mpakani upo 21km into the Tanzanian side of the border. 21 EFFIN KILOMETERS!
Shut your trap and go suck a big one!
 
Back
Top Bottom